Elections 2010 tumekubali: nec zifanyieni kasoro zilizotokea

nyambari

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
355
171
maamuzi tuliyofanya wewe,mimi pamoja na watanzania wengine jumapili iliyopita yanaweza kuwa ndo hayo yametangazwa na nec kuanzia jumatatu iliyopita na yakahitimishwa na ya urais nasema yanaweza kuwa hayo kwani sina uhakika kama kweli matokeo ya majimbo yote yalikuwa sahihi kutokana na dosari zilizojitokeza katika mchakato mzima wa kutangaza matokeo hasa sehemu zile zilizokuwa na upinzani mkali hasa sehemu za mijini mfano dar majimbo kama ubungo kulizuka mtafaruku mkubwa lakini tume wakadai ni sababu za kuwa na uwingi wa watu pamoja na miundombinu kutokuwa mizuri hii haingii akilini tunaomba nec wajipange vizuri katika chaguzi nyingine zitakozofuata jamani hata wakenya wanatushinda ?
 
maamuzi tuliyofanya wewe,mimi pamoja na watanzania wengine jumapili iliyopita yanaweza kuwa ndo hayo yametangazwa na nec kuanzia jumatatu iliyopita na yakahitimishwa na ya urais nasema yanaweza kuwa hayo kwani sina uhakika kama kweli matokeo ya majimbo yote yalikuwa sahihi kutokana na dosari zilizojitokeza katika mchakato mzima wa kutangaza matokeo hasa sehemu zile zilizokuwa na upinzani mkali hasa sehemu za mijini mfano dar majimbo kama ubungo kulizuka mtafaruku mkubwa lakini tume wakadai ni sababu za kuwa na uwingi wa watu pamoja na miundombinu kutokuwa mizuri hii haingii akilini tunaomba nec wajipange vizuri katika chaguzi nyingine zitakozofuata jamani hata wakenya wanatushinda ?

Mi naona hao wameshakuwa na mazoea. Itakuwa bora Tanzania tukiwa na tume huru ambayo itaweza kufanya kazi bila upendeleo wala woga.
 
maamuzi tuliyofanya wewe,mimi pamoja na watanzania wengine jumapili iliyopita yanaweza kuwa ndo hayo yametangazwa na nec kuanzia jumatatu iliyopita na yakahitimishwa na ya urais nasema yanaweza kuwa hayo kwani sina uhakika kama kweli matokeo ya majimbo yote yalikuwa sahihi kutokana na dosari zilizojitokeza katika mchakato mzima wa kutangaza matokeo hasa sehemu zile zilizokuwa na upinzani mkali hasa sehemu za mijini mfano dar majimbo kama ubungo kulizuka mtafaruku mkubwa lakini tume wakadai ni sababu za kuwa na uwingi wa watu pamoja na miundombinu kutokuwa mizuri hii haingii akilini tunaomba nec wajipange vizuri katika chaguzi nyingine zitakozofuata jamani hata wakenya wanatushinda ?

Wakenya lazima watushinde walichukua maamuzi magumu, yakupinga matokeo, watu walimwaga damu na kupoteza lakini wamepata nini? Wamepata katiba mpya iliyoundwa kwa kushirikisha wananchi. Na Ocampo anaendelea na uchunguzi. Rigging elections nadhani Kenya ndio itakuwa bye bye.
 
tatizo ni kwamba tume ya uchaguzi kila mwaka inaundwa in favour of serikali iliyopo madarakani. inabidi vyama vyote vikae chini vipendekeze muundo wa tume.
 
Issue sio nec kujirekebisha bali iundwe tume huru ambayo haitokuwa na mamluki wala kujipendekeza kwa ccm. Ofcoz ni kitu kigumu kwa nchi nyingi za kiafrika hasa Tanzania.
 
Back
Top Bottom