HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
Inasikitisha sana kuona watanzania kuwa ni wepesi sana wa kulalamikia hali ngumu tulonayo na udhalimu tufanyiwao na viongozi wetu ilhali tunashindwa kutimiza hasira zetu kwenye sanduku la kura.Natamani siku moja vyama vya upinzani visiweke wagombea kwenye uchaguzi mkuu ili tutiwe adabu na watawala,tupunguze lawama kama hatutaki kupiga kura.TANZANIA NI NCHI YA AJABU SANA.