meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
- Thread starter
- #21
serikali inavyotishia kufunga vituo vya afya binafsi vinavyotumia madaktari wa serikali imefikiria au inaropoka?sasa hivi vituo vikifungwa wagonjwa wake waende hospitali zipi?kuna utafiti wowote unaonesha takwimu za madaktari wanaotoroka vituo vyao vya kazi na kwenda kwenye viosk au wanachanganya part time job na utoro?je serikali imejiuliza tatizo gani la msingi linawafanya madaktari hawa(kama wapo) watoroke vituo vyao vya kazi?
Kweli kwa bajeti hii ilivyo ni dhahiri mliburuzwa!
Kweli kwa bajeti hii ilivyo ni dhahiri mliburuzwa!