Mdanganywa
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 620
- 342
Wote tumeponzwa na uvivu wetu wa kupenda kujumlishiwa matokeo na Tume. Matokeo yake hata yalipochelewa hakuna aliyekuwa anaweza kusema fulani ana kiasi gani hata kufanya kauli "lete data" itawale kwa wingi.
Munkari kwa matokeo ya ubunge unapungua kadiri wanavyotangazwa.
Lakini matokeo ya urais tunapiga porojo nyingi wakati tungekuwa tumejiandaa kupata kituo hadi kituo basi JF ina wtalaamu wa kila aina na kwa maesabu yao tungekuwa tunaongea lugha yetu.
Kwa sababu tumeruhusu uvivu kuhusu hilo tukae kimya tusubiri wachakachue wanavyotaka. Na uwezo wa kuchakachua watakuwa nayo kwani hakuna mmoja wetu anayeweza kusema ni kituo kipi kilichakachuliwa.
Si kwamba wazo la matokeo ya kituo kwa kituo halikuletwa. Liimeletwa, tukalipuuzia na hakuna anayelichangamkia kila linapojitokeza.
Ukitaka kuhakikisha angalia thread zote zilizosisitiza suala la matokeo ya kituo kwa kituo. Hatushishambulii. Hakuna hata moja iliyozidi page mbili au tuseme 10 responses. Lakini thread za tetesi zipo zilizozidi zimezidi page 15!
Ona kama hii {https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/83377-kujumlisha-matokeo-kunatushinda-tuweze-nini-duniani.html}
Na nyingine ni hii { https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/83558-poor-media-houses-and-journalists.html}
Hapo ndipo unapoweza kutupima uwezo wetu wa priorities, kama vile unavyoweza kutupima kwa priorities za kupenda kurundikana kwenye viko vya harusi wakati wenzetu wanarundikana kwenye harambee za kujenga shule.
TUmejiadhibu wenyewe na Tume ya Uchaguzi wana akili sana maana wanatujua akili zetu zitakakokibilia. Hakika wamefaulu!
Munkari kwa matokeo ya ubunge unapungua kadiri wanavyotangazwa.
Lakini matokeo ya urais tunapiga porojo nyingi wakati tungekuwa tumejiandaa kupata kituo hadi kituo basi JF ina wtalaamu wa kila aina na kwa maesabu yao tungekuwa tunaongea lugha yetu.
Kwa sababu tumeruhusu uvivu kuhusu hilo tukae kimya tusubiri wachakachue wanavyotaka. Na uwezo wa kuchakachua watakuwa nayo kwani hakuna mmoja wetu anayeweza kusema ni kituo kipi kilichakachuliwa.
Si kwamba wazo la matokeo ya kituo kwa kituo halikuletwa. Liimeletwa, tukalipuuzia na hakuna anayelichangamkia kila linapojitokeza.
Ukitaka kuhakikisha angalia thread zote zilizosisitiza suala la matokeo ya kituo kwa kituo. Hatushishambulii. Hakuna hata moja iliyozidi page mbili au tuseme 10 responses. Lakini thread za tetesi zipo zilizozidi zimezidi page 15!
Ona kama hii {https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/83377-kujumlisha-matokeo-kunatushinda-tuweze-nini-duniani.html}
Na nyingine ni hii { https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/83558-poor-media-houses-and-journalists.html}
Hapo ndipo unapoweza kutupima uwezo wetu wa priorities, kama vile unavyoweza kutupima kwa priorities za kupenda kurundikana kwenye viko vya harusi wakati wenzetu wanarundikana kwenye harambee za kujenga shule.
TUmejiadhibu wenyewe na Tume ya Uchaguzi wana akili sana maana wanatujua akili zetu zitakakokibilia. Hakika wamefaulu!