Tumejiuliza kuwa Madagascar wako LOCKDOWN na wametangaza kuwa na dawa ya Covod 19. Kwa hali hii tunajifunza nini juu ya ugonjwa huu?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
Tumegaiza dawa kutibu corona huku tukiwa hatuna wagonjwa na waliopo mpka sasa hawazidi 300 ukitoa waliopona.

Wakati huo tuna vifo 16 tu toka corona iwasili nchini.

Anayeuza dawa kaifunga nchi yake mpka sasa ndani kafanya lockdown na mipaka kaifunga kwa siku zisizojulikana.

Huku kwetu tunapuyanga tukisubiri dawa toka madagasca baada ya maombi, vyungu kugonga mwamba.

Lakini anayetuuzia yeye kajilockdown lakini anadai anazo dawa, yaani una dawa ya malaria na unajifungia ndani kuogopa kuumwa Malaria.

Lakini tusio na dawa tunapuyanga kama kawa.

Je, unalakijifunza juu ya hili?
 
ujinga wa kuagiza juisi Madagascar hauna utofauti na ujinga wa wale walevi ambao walisema kuna pombe flani hivi inatibu corona.

Sent from my SM-G975F using Tapatalk
 
Hii ni fursa fursana... Kajilock down hivyo anatafuta njia ya kuingiza mpunga kipindi hiki.. Kacheza na akili za wakurupukaji anapiga pesa huku kajifungia chumbani.. Lock down ikiisha kibubu chake kitakuwa kimetuna shekeli
Maisha ni mipango... Maisha ni hesabu...

Jr
 
Chadema mnataka nini? Km lockdown Mbona wabunge wenu wanazurura hovyo
 
Chadema mnataka nini? Km lockdown Mbona wabunge wenu wanazurura hovyo

Kuna yeyote aliyejadili siasa hapa? Kwani kujadili maradhi nako ni UCHADEMA au UCCM? Be wise japo kidogo ingiza siasa penye siasa, twajua unaipenda CCM kupita maelezo!
 
Tunatuma ndege ikafate hiyo tiba. Nyambaf kabisa na phd nzima ya chemistry anadhani kuna tiba ya virus hahaha, aendelee kutaja tu boiling point ya copper na gold.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom