ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Umejikita kwenye"Kutokuamini" so hizi ni feelings zako.Nimetoa maoni na tatizo hujaisoma thrrad nzima kama umeisoma hujaielewa. Na tatizo kubwa sana tinalo sijui ni elimu finyu ama la. Ulitakiwa kuujibu hoja na ukaweka muono wako. Ulichokifanya ni kunikosoa bila kuchangis chochote ili uonyeshe msimamo wako. Nimesema ktk thread tukubali kutokukubaliana. Kama hukubaliani na mimi basi ni weka sababu zako ulichokifanya ni kuweka maneno mdomoni mwangu maana sijakulazimisha kukubaliana na mawazo yangu.
Mbowe ANAAMINI VYOMBO VYA DOLA VINAHUSIKA