Tumejiandaaje kuchukua nafasi za watoto wa vigogo huko waliko!!!!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Pengine ni kweli kila mtu ana haki ya kuajiriwa na hata baibo inasema asiefanya kazi na asile sijaona alie na baba kigogo ama mama asifanye kazi ..hapana wote bado tuna nafasi sawa ya kufanya kazi wapi hapo dipo tunarudi kwenye mada....

Wengi wamelalamikia bot,wizara za afya kama gazeti la jamhuri la leo linavyosema ila pengine lazima tujue hawa watoto awakukaa pale bahati mbaya ...kuna chain ilipita toka kwa wazazi wao ikawapitia ambayo nakuhakikishia chain hiyo hiyo itawapitia na watoto wao watakaozaliwa ama waliozaliwa..so si muda muafaka ila ni vyema na sie tukajiuliza sasa watoto wameshakaa pale imagine awatoki tena na wakitoka bot wanaelekea kufanya ikulu

je wewe umemuandaje mtoto wako kuchukua nafasi za hawa watoto wa vigogo ninachoamini awaishi milele ila hata wakikimbia nchije umemsomesha mwanao vya kutosha..je ule mtandao wa wazazi uliowapa nguvu kuingia hapo umejiandaaje kuuvurga kumbuka tena awakuja bahati mbaya

ni wakati wetu tujiulize jinsi gani ya kuzichukua hizo position ama mungu atakapowapenda ama kwa kufight wasiwaingize watoto wao wajawo ...how..kumbuka nao watawapeleka shule nzuri kama wazazi wo walipowapeleka na wakiwa na vyeti atuna jinsi so jiulize

tuko wangapi??
 
Wee unauliza makofi police...mie nasubir tuwatoe 2 madarakani tena kuna post flan wizara flan naimezea mate...hapa niliponapiga mzigo niwe fit 2...
 
Pengine ni kweli kila mtu ana haki ya kuajiriwa na hata baibo inasema asiefanya kazi na asile sijaona alie na baba kigogo ama mama asifanye kazi ..hapana wote bado tuna nafasi sawa ya kufanya kazi wapi hapo dipo tunarudi kwenye mada....

Wengi wamelalamikia bot,wizara za afya kama gazeti la jamhuri la leo linavyosema ila pengine lazima tujue hawa watoto awakukaa pale bahati mbaya ...kuna chain ilipita toka kwa wazazi wao ikawapitia ambayo nakuhakikishia chain hiyo hiyo itawapitia na watoto wao watakaozaliwa ama waliozaliwa..so si muda muafaka ila ni vyema na sie tukajiuliza sasa watoto wameshakaa pale imagine awatoki tena na wakitoka bot wanaelekea kufanya ikulu

je wewe umemuandaje mtoto wako kuchukua nafasi za hawa watoto wa vigogo ninachoamini awaishi milele ila hata wakikimbia nchije umemsomesha mwanao vya kutosha..je ule mtandao wa wazazi uliowapa nguvu kuingia hapo umejiandaaje kuuvurga kumbuka tena awakuja bahati mbaya

ni wakati wetu tujiulize jinsi gani ya kuzichukua hizo position ama mungu atakapowapenda ama kwa kufight wasiwaingize watoto wao wajawo ...how..kumbuka nao watawapeleka shule nzuri kama wazazi wo walipowapeleka na wakiwa na vyeti atuna jinsi so jiulize

tuko wangapi??

Pdidy ulipotelea wapi? Nafikiri umefika wakati tuamke sasa na tuseme No!!!!!!!!!!!! Hii kujuana na kulindana ndio imetufikisha hapa tulipo na bado kidogo tutatumbukia na kuzama kabisa. Inauma kuona watu wanapeana nafasi za kazi kama karanga.
VIGOGO kitu gani bwana? Nguvu ya umma itumike
 
Mkuu nipo mkuu maandilizi tu ya kuingia ikulu 2015 ndio yanatusumbua lakini mungu atatusaidia
unajua tuanze sie wenyewe kijuweka safi sio upinzani unaingia 2015 unataka wakuingize kisa ulikuwa mpiga debe piga shule m naamini ni muda tu ndio utasema haya yote mwenye degree usibweteke amka kasome masters jamani huk mbelen loh@sisemi .com
 
kama aliyepo juu umsubiri ashuke,basi mtasubiri sana system hii ya sasa ni ya kulizishana mzaz,mtoto na ndugu asa sehemu nyeti na zenye manufaa,solution ni kutoa utawala uliokuwepo kama umeshindwa kuudumia wananchi wake kuwaondoa kwenye umaskin bila hivo mtasubiri sana
 
Mkuu nipo mkuu maandilizi tu ya kuingia ikulu 2015 ndio yanatusumbua lakini mungu atatusaidia
unajua tuanze sie wenyewe kijuweka safi sio upinzani unaingia 2015 unataka wakuingize kisa ulikuwa mpiga debe piga shule m naamini ni muda tu ndio utasema haya yote mwenye degree usibweteke amka kasome masters jamani huk mbelen loh@sisemi .com

nakutakia kila kheri 2015
 
Back
Top Bottom