Tumeharibu mazingira sasa maji ni shida Kilimanjaro

Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.

Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu hawakuruhusiwa kukata miti ovyo,enzi hizo kulikuwa na zaidi ya mito 20 iliyokuwa inatiririsha maji kutoka mlima Kilimanjaro,leo hali ni tete,karibu mito yote imekauka,vyanzo vya maji navyo hakuna na sasa kila kona ni kilio cha maji,hakuna maji ya uhakika kwa baadhi ya maeneo na mgao wa maji ni kama kawa japo wenyewe wanasema hakuna mgao wa maji.

Ndani ya mji wa maoshi kwa baadhi ya maeneo watu wanaamka usiku kusaka maji,hali ni mbaya mbaya kweli kweli,yote haya ni kwa sababu tumeharibu mazingira kwa kiwango cha kutisha.

Kun hatari pia ya kupugua kwa theluji ya mlima Kilimanjaro kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na hali hii ambayo itaendelea kuibua migogoro baina ya wakulima na wafugaji kila mmoja akitaka kunufaika na maji kwa kilimo na kwa kunywesha mifugo.

Wengi sasa wanamkumbuka Marehemu Leonidas Gama akiwa mkuu wa moa wa Kilimanjaro alisimamia vyema uhifadhi wa mazingira na kupiga marufuku ukataji miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya mbao,kuni na mahitaji mengine na kwa hilo hakika alifanikiwa.

Baada ya kifo cha Gama watu wakavamia misitu ya asili wakafnaya yao leo ndo matunda ya uharibifu w mazingira tunayashuhudia.

Kazi kwenu watawala wa mkoa wa Kilimanjaro,msipochukua hatua leo kesho yaweza kuwa mbaya zaidi,joto litaendelea kututesa ile mbaya na maji yatakuwa bidhaa adhimu sana
Nilikuwa Moshi juzi kati, yaani nilizani Niko dar , jua ni Kali sana
 
Afu wangese hawa viongozi wa dini watakuja na yao eti tufunge tuombe Mungu atupe mvua, nyoko zenu badala ya kuwafundisha waumini wenu kwa miti ndo miungu yenyewe inayotufadhili kwa hewa safi, dawa, chakula, kivuli na mema mengi yatokanayo na miti, lakini tunaikata ikiisha tunaenda kuomba Mungu asiyejulikana, hasikiki, haonekani ila tu ameandikwa kwenye vitabu vya dini eti tumuabudu, hivyo vitabu vimetoka wapi? Nani aliye compile na kuwaleta binadamu ujinga wa dini?
Haya ombeni mungu alete mvua sasa
Inaonekana una msongo wa mawazo.
 
Harafu kuna madiwani uchwara huko Rombo wanataka Half mile strip irudishwe halmashauri ili wananchi waingie huko na kuharibu mazingira bila kujua ilipelekwa kuwa chini ya Tanapa kwa Tangazo la serikali baada ya kubainika kuwa hali yauharibifu wa mazingirailikuwa kubwa sana
 
Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.

Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu hawakuruhusiwa kukata miti ovyo,enzi hizo kulikuwa na zaidi ya mito 20 iliyokuwa inatiririsha maji kutoka mlima Kilimanjaro,leo hali ni tete,karibu mito yote imekauka,vyanzo vya maji navyo hakuna na sasa kila kona ni kilio cha maji,hakuna maji ya uhakika kwa baadhi ya maeneo na mgao wa maji ni kama kawa japo wenyewe wanasema hakuna mgao wa maji.

Ndani ya mji wa maoshi kwa baadhi ya maeneo watu wanaamka usiku kusaka maji,hali ni mbaya mbaya kweli kweli,yote haya ni kwa sababu tumeharibu mazingira kwa kiwango cha kutisha.

Kun hatari pia ya kupugua kwa theluji ya mlima Kilimanjaro kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na hali hii ambayo itaendelea kuibua migogoro baina ya wakulima na wafugaji kila mmoja akitaka kunufaika na maji kwa kilimo na kwa kunywesha mifugo.

Wengi sasa wanamkumbuka Marehemu Leonidas Gama akiwa mkuu wa moa wa Kilimanjaro alisimamia vyema uhifadhi wa mazingira na kupiga marufuku ukataji miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya mbao,kuni na mahitaji mengine na kwa hilo hakika alifanikiwa.

Baada ya kifo cha Gama watu wakavamia misitu ya asili wakafnaya yao leo ndo matunda ya uharibifu w mazingira tunayashuhudia.

Kazi kwenu watawala wa mkoa wa Kilimanjaro,msipochukua hatua leo kesho yaweza kuwa mbaya zaidi,joto litaendelea kututesa ile mbaya na maji yatakuwa bidhaa adhimu sana
Viongozi wa Sasa hawa wa hovyo hovyo kina Ali Hapi watafanya nini
 
Hata msitu wa Njoro ni balaaa,watu wamekata miti yote,eneo la Njoro ya Dobi kulikuwa na cehmchem nyingi sana mwaka1995 hadi 1998 lakini leo hakuna kitu watu wamejenga juu ya vyanzo vya maji,sasa hapo unatarajia nini kama si joto kuongezeka na uhaba wa maji?.wana kilimanjaro wasipoamka hali itakuwa mbaya sana kuliko tunavyofikiria.tuachane na siasa za maji taka eti hawa ni wananchi wetu wacheni waingie forest wakate kuni
 
Watu wa Kilimanjaro tembeeni muone, joto lipo nchi nzima kwa sababu ya kutokuwepo kwa mvua za vuli. Msipende kujihesabia sana haki mbuzi nyie
 
Kuna nchi nyingi ziko jangwani ila zina maji ya kutosha miaka yote.
Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.

Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu hawakuruhusiwa kukata miti ovyo,enzi hizo kulikuwa na zaidi ya mito 20 iliyokuwa inatiririsha maji kutoka mlima Kilimanjaro,leo hali ni tete,karibu mito yote imekauka,vyanzo vya maji navyo hakuna na sasa kila kona ni kilio cha maji,hakuna maji ya uhakika kwa baadhi ya maeneo na mgao wa maji ni kama kawa japo wenyewe wanasema hakuna mgao wa maji.

Ndani ya mji wa maoshi kwa baadhi ya maeneo watu wanaamka usiku kusaka maji,hali ni mbaya mbaya kweli kweli,yote haya ni kwa sababu tumeharibu mazingira kwa kiwango cha kutisha.

Kun hatari pia ya kupugua kwa theluji ya mlima Kilimanjaro kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na hali hii ambayo itaendelea kuibua migogoro baina ya wakulima na wafugaji kila mmoja akitaka kunufaika na maji kwa kilimo na kwa kunywesha mifugo.

Wengi sasa wanamkumbuka Marehemu Leonidas Gama akiwa mkuu wa moa wa Kilimanjaro alisimamia vyema uhifadhi wa mazingira na kupiga marufuku ukataji miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya mbao,kuni na mahitaji mengine na kwa hilo hakika alifanikiwa.

Baada ya kifo cha Gama watu wakavamia misitu ya asili wakafnaya yao leo ndo matunda ya uharibifu w mazingira tunayashuhudia.

Kazi kwenu watawala wa mkoa wa Kilimanjaro,msipochukua hatua leo kesho yaweza kuwa mbaya zaidi,joto litaendelea kututesa ile mbaya na maji yatakuwa bidhaa adhimu sana
 
Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.

Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu hawakuruhusiwa kukata miti ovyo,enzi hizo kulikuwa na zaidi ya mito 20 iliyokuwa inatiririsha maji kutoka mlima Kilimanjaro,leo hali ni tete,karibu mito yote imekauka,vyanzo vya maji navyo hakuna na sasa kila kona ni kilio cha maji,hakuna maji ya uhakika kwa baadhi ya maeneo na mgao wa maji ni kama kawa japo wenyewe wanasema hakuna mgao wa maji.

Ndani ya mji wa maoshi kwa baadhi ya maeneo watu wanaamka usiku kusaka maji,hali ni mbaya mbaya kweli kweli,yote haya ni kwa sababu tumeharibu mazingira kwa kiwango cha kutisha.

Kun hatari pia ya kupugua kwa theluji ya mlima Kilimanjaro kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na hali hii ambayo itaendelea kuibua migogoro baina ya wakulima na wafugaji kila mmoja akitaka kunufaika na maji kwa kilimo na kwa kunywesha mifugo.

Wengi sasa wanamkumbuka Marehemu Leonidas Gama akiwa mkuu wa moa wa Kilimanjaro alisimamia vyema uhifadhi wa mazingira na kupiga marufuku ukataji miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya mbao,kuni na mahitaji mengine na kwa hilo hakika alifanikiwa.

Baada ya kifo cha Gama watu wakavamia misitu ya asili wakafnaya yao leo ndo matunda ya uharibifu w mazingira tunayashuhudia.

Kazi kwenu watawala wa mkoa wa Kilimanjaro,msipochukua hatua leo kesho yaweza kuwa mbaya zaidi,joto litaendelea kututesa ile mbaya na maji yatakuwa bidhaa adhimu sana
Kwa vile mlishupaza shingo katika kufyeka misitu sasa ngoja jua liwagonge mpaka akili zikae sawa
 
Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.

Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu hawakuruhusiwa kukata miti ovyo,enzi hizo kulikuwa na zaidi ya mito 20 iliyokuwa inatiririsha maji kutoka mlima Kilimanjaro,leo hali ni tete,karibu mito yote imekauka,vyanzo vya maji navyo hakuna na sasa kila kona ni kilio cha maji,hakuna maji ya uhakika kwa baadhi ya maeneo na mgao wa maji ni kama kawa japo wenyewe wanasema hakuna mgao wa maji.

Ndani ya mji wa maoshi kwa baadhi ya maeneo watu wanaamka usiku kusaka maji,hali ni mbaya mbaya kweli kweli,yote haya ni kwa sababu tumeharibu mazingira kwa kiwango cha kutisha.

Kun hatari pia ya kupugua kwa theluji ya mlima Kilimanjaro kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na hali hii ambayo itaendelea kuibua migogoro baina ya wakulima na wafugaji kila mmoja akitaka kunufaika na maji kwa kilimo na kwa kunywesha mifugo.

Wengi sasa wanamkumbuka Marehemu Leonidas Gama akiwa mkuu wa moa wa Kilimanjaro alisimamia vyema uhifadhi wa mazingira na kupiga marufuku ukataji miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya mbao,kuni na mahitaji mengine na kwa hilo hakika alifanikiwa.

Baada ya kifo cha Gama watu wakavamia misitu ya asili wakafnaya yao leo ndo matunda ya uharibifu w mazingira tunayashuhudia.

Kazi kwenu watawala wa mkoa wa Kilimanjaro,msipochukua hatua leo kesho yaweza kuwa mbaya zaidi,joto litaendelea kututesa ile mbaya na maji
Unazungumzia Moshhi ipi? Hivi katika mikoa yote kuna mkoa umepanda miti kama kilimanjaro?
Mzee Mengi RIP aliongoza mamia ya wakazi wa mkoa wa kilimanjaro kupanda miti kuanzia juu kwenye mmiteremko ya mlima Kilimanjaro na kupanda miti zaidi ya milioni 5 kila mwaka.
Ukipita pale chuo cha polisi barabara ya kuelekea kcmc utakachokiona ndio kilichofanyika kwenye vijiji vingi vya mkoa wa kilimanjaro na wilaya zake zote.
Kile unachosema ni uharibifu wa mazingira sio kweli, ni mabadiliko ya tabia nchi ambayo yamepelekea sehemu kubwa ya bara la afrika kuwa na joto kali.
 
Kama hujui ni kwamba mji wa moshi kwa sasa unaongoza kwa kiwango cha joto ambalo kwa sasa limefikia nyuzi joto 36, jua ni kali ile mbaya hii yote ni matunda ya uharibifu wa mazingira.

Enzi za utawala wa Mangi Thomas Maraelle kulikuwa na sheria kali katika uhifadhi wa mazingira,watu hawakuruhusiwa kukata miti ovyo,enzi hizo kulikuwa na zaidi ya mito 20 iliyokuwa inatiririsha maji kutoka mlima Kilimanjaro,leo hali ni tete,karibu mito yote imekauka,vyanzo vya maji navyo hakuna na sasa kila kona ni kilio cha maji,hakuna maji ya uhakika kwa baadhi ya maeneo na mgao wa maji ni kama kawa japo wenyewe wanasema hakuna mgao wa maji.

Ndani ya mji wa maoshi kwa baadhi ya maeneo watu wanaamka usiku kusaka maji,hali ni mbaya mbaya kweli kweli,yote haya ni kwa sababu tumeharibu mazingira kwa kiwango cha kutisha.

Kun hatari pia ya kupugua kwa theluji ya mlima Kilimanjaro kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na hali hii ambayo itaendelea kuibua migogoro baina ya wakulima na wafugaji kila mmoja akitaka kunufaika na maji kwa kilimo na kwa kunywesha mifugo.

Wengi sasa wanamkumbuka Marehemu Leonidas Gama akiwa mkuu wa moa wa Kilimanjaro alisimamia vyema uhifadhi wa mazingira na kupiga marufuku ukataji miti ovyo kwa ajili ya matumizi ya mbao,kuni na mahitaji mengine na kwa hilo hakika alifanikiwa.

Baada ya kifo cha Gama watu wakavamia misitu ya asili wakafnaya yao leo ndo matunda ya uharibifu w mazingira tunayashuhudia.

Kazi kwenu watawala wa mkoa wa Kilimanjaro,msipochukua hatua leo kesho yaweza kuwa mbaya zaidi,joto litaendelea kututesa ile mbaya na maji yatakuwa bidhaa adhimu sana
Unataka tuwazuie ili mkoa urudi Chadema, hatutafanya kosa hilo.
 
Back
Top Bottom