Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,247
Sakafieni nyinyi ili tukose wote.Sakafieni ziwe ngumu
Sakafieni nyinyi ili tukose wote.
hahahaaaaaaaaaMh! Sasa hapo watazidisha tatizo na kututaka tule zege, maana mpinzani ni mpingo!
Hahaha dahSakafieni ziwe ngumu
Sakafieni nyinyi ili tukose wote.
Si miguu ya stuli hii mkuu? na fundi kakereza vizuri sana aisee
DuhSasa hapooo! mbona wamechonga vibamia kama ni kwa ajili ya shughuli yenyewe?!... au ni kwa key holders?... Wasiwachongee za mchezomchezo wawasababishie kutumia viwili au vitatu viungwe pamoja (vifurushi=bundles)!...