Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,907
- 4,770
Mojawapo ya sababu vya nchi hii kuwa na utulivu kwa upande wa Tanganyika, ni kwa sababu ya mkakati wa viongozi wa mwanzo kuepuka kupeleka siasa kali mashinani kuanzia enzi ya TANU, UTP ya Zuberi Mtemvu, ASP,ZNP hadi enzi za TADEA na CHAUMMA. Siasa kali mashinani siyo. Kulitakiwa kufanyike mkakati kuepuka siasa kali za ushindani huku mitaani kwetu.
Kuna kosa nchi hii imefanya kuanzia washauri wa mambo ya siasa hadi TISS na hata vyama vya siasa.
Mimi nashauri huu upepo wa uchaguzi wa serikali za mitaa tunaoukomalia Kama Uchaguzi Mkuu, uzimwe kwa nguvu zote. Kitengo fanyeni kazi. Naamini mnajua na mna taarifa Kama huu upepo ni natural au man made. Na Kama ni man made, je kutoka ndani au nje? Na Kama ni nje, kwa jirani au kutoka mbali?
Huu upepo uzimwe kwa kuufutilia mbali huu uchaguzi usifanyike kabisa.
Kuna kosa nchi hii imefanya kuanzia washauri wa mambo ya siasa hadi TISS na hata vyama vya siasa.
Mimi nashauri huu upepo wa uchaguzi wa serikali za mitaa tunaoukomalia Kama Uchaguzi Mkuu, uzimwe kwa nguvu zote. Kitengo fanyeni kazi. Naamini mnajua na mna taarifa Kama huu upepo ni natural au man made. Na Kama ni man made, je kutoka ndani au nje? Na Kama ni nje, kwa jirani au kutoka mbali?
Huu upepo uzimwe kwa kuufutilia mbali huu uchaguzi usifanyike kabisa.