Elections 2010 Tumefanya Dhambi mbele Za Mungu

akashube

JF-Expert Member
Dec 24, 2009
401
23
Japo nina ushahidi wa kutosha kuhusu kilichofanywa na majasusi hasa kwenye kura za urais lakini naomba nisizungumzie uchakachuaji kabla ya kuzungumzia udini.

Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake

Ni wazi wengi hawajampigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake

Ni wazi wengi wamefanya hivyo kwa Prof Lipumba kwa uislamu wake.

Dhambi hii imetosha kumfanya mwenyezi Mungu asinyoshe mkono wake kuzuia unajisi unaofanywa na Tume Ya Taifa ya Uchaguzi kwenye matokeo ya Kura Zetu.

Kwa herini jukwaa la uchaguzi 2010, hamtaniona tena hapa, nawatakia kazi njema.

Sina noma, hata ngedere akiwa Rais, wabunge walioko wanatosha kufanya mambo yaende sawa.

HONGERA WOTE MLIOSHINDA KIHALALI.
 
Japo nina ushahidi wa kutosha kuhusu kilichofanywa na majasusi hasa kwenye kura za urais lakini naomba nisizungumzie uchakachuaji kabla ya kuzungumzia udini.

Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake

Ni wazi wengi hawajampigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake

Ni wazi wengi wamefanya hivyo kwa Prof Lipumba kwa uislamu wake.

Dhambi hii imetosha kumfanya mwenyezi Mungu asinyoshe mkono wake kuzuia unajisi unaofanywa na Tume Ya Taifa ya Uchaguzi kwenye matokeo ya Kura Zetu.

Kwa herini jukwaa la uchaguzi 2010, hamtaniona tena hapa, nawatakia kazi njema.

Sina noma, hata ngedere akiwa Rais, wabunge walioko wanatosha kufanya mambo yaende sawa.

HONGERA WOTE MLIOSHINDA KIHALALI.

-Mbona hujasema ikiwa JK amepigiwa kura kwa uislamu wake?
-Ni nani aliyekuwa busy kupiga majungu kuwa Slaa ni Padri kama sio CCM wenyewe?

Acha hizo bana.....
 
Back
Top Bottom