akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
Japo nina ushahidi wa kutosha kuhusu kilichofanywa na majasusi hasa kwenye kura za urais lakini naomba nisizungumzie uchakachuaji kabla ya kuzungumzia udini.
Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake
Ni wazi wengi hawajampigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake
Ni wazi wengi wamefanya hivyo kwa Prof Lipumba kwa uislamu wake.
Dhambi hii imetosha kumfanya mwenyezi Mungu asinyoshe mkono wake kuzuia unajisi unaofanywa na Tume Ya Taifa ya Uchaguzi kwenye matokeo ya Kura Zetu.
Kwa herini jukwaa la uchaguzi 2010, hamtaniona tena hapa, nawatakia kazi njema.
Sina noma, hata ngedere akiwa Rais, wabunge walioko wanatosha kufanya mambo yaende sawa.
HONGERA WOTE MLIOSHINDA KIHALALI.
Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake
Ni wazi wengi hawajampigia kura Dr. Slaa kwa ukristo wake
Ni wazi wengi wamefanya hivyo kwa Prof Lipumba kwa uislamu wake.
Dhambi hii imetosha kumfanya mwenyezi Mungu asinyoshe mkono wake kuzuia unajisi unaofanywa na Tume Ya Taifa ya Uchaguzi kwenye matokeo ya Kura Zetu.
Kwa herini jukwaa la uchaguzi 2010, hamtaniona tena hapa, nawatakia kazi njema.
Sina noma, hata ngedere akiwa Rais, wabunge walioko wanatosha kufanya mambo yaende sawa.
HONGERA WOTE MLIOSHINDA KIHALALI.