Tumefanikiwa katika lipi 2016?

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
Mwaka 2016 unaisha. Tunatarajia mwaka mpya 2017. Siku zinapita na wala hazirudi nyuma. Katika masuala makubwa makubwa yaliyotikisa taifa letu lipi limefanikiwa au tumevumisha tu kupiga kelele kwa mambo au ambayo hayakuwapo ila tumefanya vile ku-draw attention ya media bila impact kwa jamii ya watanzania kiuhalisia?

1. Tulianza na watumishi hewa, je wameisha? Waliosababisha hilo tatizo wako wapi ni akina nani?
2. Kutumbua, kumeleta tija kwa taifa au kumejenga woga?
3. Sakata la sukari kufichwa na itakayopatikana ingegawiwa bure kwa watanzania? Ilipatikana? Iligawiwa? Lini wapi na walionufaika na sukari ya bure ni akina nani? Bei elekezi ya sukari ya serikali ni 1800, je hapo ulipo wanauza kiasi gani leo?
4. Mbwembwe za Mawaziri kuwahi ofisini hadi kufunga geti ili kubaini wanaochelewa zimeisha lini? Na Waandishi walipataje taarifa kuwa waziri atawahi kufunga geti ili wampige picha
5. Ziara za kushtukiza za Mawaziri, na viongozi wengine zilizokuwa zinasheheni waandishi zimeisha kwanini? Mwakani zitajirudia?
6. Fedha zilizokuwa zimefichwa na wafanyabishara zimetolewa? Hatua gani imechukuliwa.
7. Kukatika umeme ilielezwa itakuwa ndoto, hali ikoje sasa
8. Mbwembwe za mahakama ya mafisadi zimeishia wapi? DK Mwakyembe amesema watuhumiwa hakuna.
9. Sakata la Faru John litaishaje, na kwanini lilipewa umuhimu kuliko miili 7 ya mto ruvu na kupotea Ben Saanane.
10. Wapiga dili tulioambiwa watachukuliwa hatua kuwa walitaka kutugombanisha na Dangote wamechukuliwa hatua gani, ni akina nani?

HERI YA MWAKA MPYA 2017, MUNGU ATUSAIDIE KUKOMAA SHINGONI KWENDA JUU.
 
Kama ni kufanikiwa serikali ya magufuli ningewapa 10% ya kununua ndege.......

Haya mengine 90% jamaa kachemuka sana ni mchezaji alitakiwa kufanyiwa substitute
 
Mwaka 2016 unaisha. Tunatarajia mwaka mpya 2017. Siku zinapita na wala hazirudi nyuma. Katika masuala makubwa makubwa yaliyotikisa taifa letu lipi limefanikiwa au tumevumisha tu kupiga kelele kwa mambo au ambayo hayakuwapo ila tumefanya vile ku-draw attention ya media bila impact kwa jamii ya watanzania kiuhalisia?

1. Tulianza na watumishi hewa, je wameisha? Waliosababisha hilo tatizo wako wapi ni akina nani?
2. Kutumbua, kumeleta tija kwa taifa au kumejenga woga?
3. Sakata la sukari kufichwa na itakayopatikana ingegawiwa bure kwa watanzania? Ilipatikana? Iligawiwa? Lini wapi na walionufaika na sukari ya bure ni akina nani? Bei elekezi ya sukari ya serikali ni 1800, je hapo ulipo wanauza kiasi gani leo?
4. Mbwembwe za Mawaziri kuwahi ofisini hadi kufunga geti ili kubaini wanaochelewa zimeisha lini? Na Waandishi walipataje taarifa kuwa waziri atawahi kufunga geti ili wampige picha
5. Ziara za kushtukiza za Mawaziri, na viongozi wengine zilizokuwa zinasheheni waandishi zimeisha kwanini? Mwakani zitajirudia?
6. Fedha zilizokuwa zimefichwa na wafanyabishara zimetolewa? Hatua gani imechukuliwa.
7. Kukatika umeme ilielezwa itakuwa ndoto, hali ikoje sasa
8. Mbwembwe za mahakama ya mafisadi zimeishia wapi? DK Mwakyembe amesema watuhumiwa hakuna.
9. Sakata la Faru John litaishaje, na kwanini lilipewa umuhimu kuliko miili 7 ya mto ruvu na kupotea Ben Saanane.
10. Wapiga dili tulioambiwa watachukuliwa hatua kuwa walitaka kutugombanisha na Dangote wamechukuliwa hatua gani, ni akina nani?

HERI YA MWAKA MPYA 2017, MUNGU ATUSAIDIE KUKOMAA SHINGONI KWENDA JUU.
Tume anzisha reality Tv show ya viongozi wa serikali,nadhani tumeweka rekodi ya kutembea na camera,sasa hivi TBC mpaka rais akienda kanisani wapo,na mikutano ya ccm ikulu ni rekodi ingine.
 
BILA KUSAHAU MAKUSANYO YA LAZIMA YA MAPATO KAGERA ni mafanikio makubwa kuwahi kutokea na triki nzuri.
 
Mwaka 2016 unaisha. Tunatarajia mwaka mpya 2017. Siku zinapita na wala hazirudi nyuma. Katika masuala makubwa makubwa yaliyotikisa taifa letu lipi limefanikiwa au tumevumisha tu kupiga kelele kwa mambo au ambayo hayakuwapo ila tumefanya vile ku-draw attention ya media bila impact kwa jamii ya watanzania kiuhalisia?

1. Tulianza na watumishi hewa, je wameisha? Waliosababisha hilo tatizo wako wapi ni akina nani?
2. Kutumbua, kumeleta tija kwa taifa au kumejenga woga?
3. Sakata la sukari kufichwa na itakayopatikana ingegawiwa bure kwa watanzania? Ilipatikana? Iligawiwa? Lini wapi na walionufaika na sukari ya bure ni akina nani? Bei elekezi ya sukari ya serikali ni 1800, je hapo ulipo wanauza kiasi gani leo?
4. Mbwembwe za Mawaziri kuwahi ofisini hadi kufunga geti ili kubaini wanaochelewa zimeisha lini? Na Waandishi walipataje taarifa kuwa waziri atawahi kufunga geti ili wampige picha
5. Ziara za kushtukiza za Mawaziri, na viongozi wengine zilizokuwa zinasheheni waandishi zimeisha kwanini? Mwakani zitajirudia?
6. Fedha zilizokuwa zimefichwa na wafanyabishara zimetolewa? Hatua gani imechukuliwa.
7. Kukatika umeme ilielezwa itakuwa ndoto, hali ikoje sasa
8. Mbwembwe za mahakama ya mafisadi zimeishia wapi? DK Mwakyembe amesema watuhumiwa hakuna.
9. Sakata la Faru John litaishaje, na kwanini lilipewa umuhimu kuliko miili 7 ya mto ruvu na kupotea Ben Saanane.
10. Wapiga dili tulioambiwa watachukuliwa hatua kuwa walitaka kutugombanisha na Dangote wamechukuliwa hatua gani, ni akina nani?

HERI YA MWAKA MPYA 2017, MUNGU ATUSAIDIE KUKOMAA SHINGONI KWENDA JUU.
Kagera na kuwaleta wachangiaji wengi mh akiwa mshehereshaji wakajikuta wanapiga dili tu ndo mana mbunge wa bukoba mjini hawakumwalika kwe upigaji wa dili
 
Mwaka 2016 unaisha. Tunatarajia mwaka mpya 2017. Siku zinapita na wala hazirudi nyuma. Katika masuala makubwa makubwa yaliyotikisa taifa letu lipi limefanikiwa au tumevumisha tu kupiga kelele kwa mambo au ambayo hayakuwapo ila tumefanya vile ku-draw attention ya media bila impact kwa jamii ya watanzania kiuhalisia?

1. Tulianza na watumishi hewa, je wameisha? Waliosababisha hilo tatizo wako wapi ni akina nani?
2. Kutumbua, kumeleta tija kwa taifa au kumejenga woga?
3. Sakata la sukari kufichwa na itakayopatikana ingegawiwa bure kwa watanzania? Ilipatikana? Iligawiwa? Lini wapi na walionufaika na sukari ya bure ni akina nani? Bei elekezi ya sukari ya serikali ni 1800, je hapo ulipo wanauza kiasi gani leo?
4. Mbwembwe za Mawaziri kuwahi ofisini hadi kufunga geti ili kubaini wanaochelewa zimeisha lini? Na Waandishi walipataje taarifa kuwa waziri atawahi kufunga geti ili wampige picha
5. Ziara za kushtukiza za Mawaziri, na viongozi wengine zilizokuwa zinasheheni waandishi zimeisha kwanini? Mwakani zitajirudia?
6. Fedha zilizokuwa zimefichwa na wafanyabishara zimetolewa? Hatua gani imechukuliwa.
7. Kukatika umeme ilielezwa itakuwa ndoto, hali ikoje sasa
8. Mbwembwe za mahakama ya mafisadi zimeishia wapi? DK Mwakyembe amesema watuhumiwa hakuna.
9. Sakata la Faru John litaishaje, na kwanini lilipewa umuhimu kuliko miili 7 ya mto ruvu na kupotea Ben Saanane.
10. Wapiga dili tulioambiwa watachukuliwa hatua kuwa walitaka kutugombanisha na Dangote wamechukuliwa hatua gani, ni akina nani?

HERI YA MWAKA MPYA 2017, MUNGU ATUSAIDIE KUKOMAA SHINGONI KWENDA JUU.
tumefanikiwa kugundua Mbowe anajua alipo Ben saanane.
 
Mafanikio makubwa ambayo yamepatikana ni kuwaloga wana CHADEMA wasifurukute kwa lolote mbele ya mheshimiwa pichani

it01.jpg
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom