Mtafiti Makini
Member
- Apr 11, 2011
- 14
- 5
Ndugu zangu tunapokaribia kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa taifa tunaunganishwa kwa kauli mbiu isemayo "TUMEWEZA, TUMETHUBUTU NA TUNASONGA MBELE". Lakini mimi naiona labda ingekuwa "TUMEDHUBUTU HATUJAWEZA NA TUNARUDI NYUMA" kwani kuna changamoto nyingi sana bado hatujaweza japo tumethubutu na kibaya zaidi tunarudi nyuma.
[h=6][/h]
[h=6][/h]