Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,012
- 10,164
"Mh.Shikamoo!" Si rushwa ila ujumbe huu umetoka kwa mtu aliyemsalimia Mh. na yawezekana ni jamaa na mkubwa wake wa Huko Monduli. Lakini usingeandika comment hii kama isingekuwepo neno hili "Shikamoo" katika post!Tafadhali lete maoni makini kwa manufaa ya umma. Posts zangu ziko hewani mara kwa mara kwa sababu zinajenga uelewa kwa watu makini.Hakuna rushwa. Narika katoa salamu hiyo! Upo hapo mkuu!
Okay mkuu nilishakuambia kwamba komaeni mpaka kieleweke kwani kila kitu kinaeleweka hasa ukizingatia huyo wanaesema yupo strong kwa kuwa hamjawapa nafasi watu wengine, hivyo imani yangu ni kuwa kuna watu wengi wazuri hawapo kwenye system ila wamekosa fursa au wamenyimwa fursa kwa zengwe kupata nafasi. Mfano mzuri mtu anapokuwa anakubalika utasikia mbunge alieko madarakani anapita na kusema kuna watu wanapita kuwaadaa wananchi.