Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
Hahaha!!! NN brother nimecheka kweli hapa nilipoWewe nani kakuteua kuwa msemaji wa wanawake?
Na kwani wanawake wao hawaumizi? Manake wamejaa full usanii halafu ukiwauliza vipi kuhusu Fulani na Fulani unaambiwa ‘we are just friends'. Hamna lolote nyie.
utacheka sana tfhahaha!!! Nn brother nimecheka kweli hapa nilipo
Hahaha!!! NN brother nimecheka kweli hapa nilipo
I'm sick and tired of these one sided attacks from these people.
They go around portraying this innocent and wholesome persona when in actual fact they are just as bad as men are.
It's about time to start dispensing some too much truth up in here.
ILA NI KWELI NN WANAUME NI WAONGO, My viewpoints are based on what I have seen and observed and the different kind of liars I have met so far!
Wewe nani kakuteua kuwa msemaji wa wanawake?
Na kwani wanawake wao hawaumizi? Manake wamejaa full usanii halafu ukiwauliza vipi kuhusu Fulani na Fulani unaambiwa we are just friends. Hamna lolote nyie.
Mimi huwa nashangaa sana they think they are the only creatures in this world who every now and then we should feel sorry for them as if they are angles that they don't cheat or hurt us as well au kwavile sisi huwa hatuongei na tunapiga kimya basi inaonekana kwamba huwa hatuumiziwi na wao.Fine! You are entitled to your opinion as I am entitled to mine. I, too, have met a gazillion of women who are pathological liars.
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
NN Why do Men Lie to their Girlfriends?Fine! You are entitled to your opinion as I am entitled to mine. I, too, have met a gazillion of women who are pathological liars.
Mimi huwa nashangaa sana they think they are the only creatures in this world who every now and then we should feel sorry for the as if they don't hurt us as well au kweli vile sisi huwa hatuongei na tupiga kimya basi inaonekana kwamba huwa hatuumiziwi na wao.
NN Why do Men Lie to their Girlfriends?
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
Demu wangu kwenye simu yake amesave namba yangu Sweet, halafu kuna sweet1, sweet2, sweet3 mpaka sweet mpaka 15 hivi.
Je, na nyie hamuwaumizi wanaume? acha uongo Millen tena mwanamke mwenye wivu kama wewe ndiyo tabia yako ya kurundika wanaume kama karanga!
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!