MNYOO JOGOO
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 195
- 94
Inasikitisha kuona tunaendelea kulalamika kuhusiana kuanguka kwa majengo mbalilmbali jijini, sababu zinajulikana na inasikitisha zaidi pale ambapo tumekuwa tukitafuta mchawi kumbe vitu vipo wazi na vinajulikana, Takwimu zinaonyesha kuwa Cement ambayo ni the 2nd consumable good on earth baada ya maji. Inafurahisha zaidi kuona kuwa cement kutoka Tanzania zinaubora unaiwezesha kuwa used wherever here on earth in the construction industry. Serikali imeepuuza hili matokeo yake sasa ujenzi usiozingatia viwango umeendelea kugharimu maisha ya watanzania wenzetu kwa kuruhusu cement zisizo na ubora kuingia nchini.
Tunapoelekea kusikiliza Bajeti ya serikali, ni busara sasa serikali ikaona umuhimu wa kuiangalia hii sector kwani inaweza kutusaidia fedha za kigeni through export, zaidi iangalie ubora wa cheap cement zinazoigia nchini holela kwani zimeechangia kugharimu nafsi za watu ambao wamekuwa ni nguzo muhimu katika kusukuma gurudumu l a maendeleo nchi.