Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 803
Habari za mda huu waungwana.
Inauma lakini ndo imeshatokea nimejikuta nikishea dem mmoja na braza bila kujua.Leo ndio nimegundua nilipoenda kwa braza kumsalimia nikawakuta manzi angu na braza wakila denda kavukavu dem alishtuka lakini mimi nikajifanya sielewi chochote kwa sababu huyu braza angu naheshimiana nae kinoma noma.
Roho inaniuma lakini ndio hivyo kaisha kua shemeji tena,na bado ninampenda.
Naombeni ushauri mzuri angalau nipate hata kafaraja ndani ya moyo.
Inauma lakini ndo imeshatokea nimejikuta nikishea dem mmoja na braza bila kujua.Leo ndio nimegundua nilipoenda kwa braza kumsalimia nikawakuta manzi angu na braza wakila denda kavukavu dem alishtuka lakini mimi nikajifanya sielewi chochote kwa sababu huyu braza angu naheshimiana nae kinoma noma.
Roho inaniuma lakini ndio hivyo kaisha kua shemeji tena,na bado ninampenda.
Naombeni ushauri mzuri angalau nipate hata kafaraja ndani ya moyo.