muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Makamu wetu wa rais ameondoka kwenda Ulaya kwenda kufanyiwa check up ikiwa ni kama mwezi tu tokea apate madaraka hayo.
Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.
Inasemekana ameelekea Uingereza.
Habari ndio hiyo tujadili.
Inaelekea tumechagua makamu mgonjwa na sasa inakula kwetu.
Inasemekana ameelekea Uingereza.
Habari ndio hiyo tujadili.