mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Mimi ndo niliamua kumuacha huyu binti kutokana na sababu zangu binafsi ambazo ziko nje ya uwezo wangu.
Nilifuta na namba yake kabisa, kumbe yangu ameikariri. Kinachoendelea sasa hivi ni kila asubuhi anatuma ujumbe wa "asubuhi njema" na jioni atatuma ujumbe wa "usiku mwema".
Siipendi tabia hii maana amenifanya mpaka nimeikariri namba yake.
Ni majibu gani yanamfaa huyu?
Tumeachana lakini kila asubuhi na jioni hunitumia message.
Nilifuta na namba yake kabisa, kumbe yangu ameikariri. Kinachoendelea sasa hivi ni kila asubuhi anatuma ujumbe wa "asubuhi njema" na jioni atatuma ujumbe wa "usiku mwema".
Siipendi tabia hii maana amenifanya mpaka nimeikariri namba yake.
Ni majibu gani yanamfaa huyu?
Tumeachana lakini kila asubuhi na jioni hunitumia message.