PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
Nimeachana na aliekuwa mpenzi wangu lakini hatujaachana kwa amani tumetukanana sana na kutoleana maneno makali ambayo hayafai kuandikwa hapa.
Lakini moyo wangu bado unampenda huyu msichana na nilijitutumua kurushiana naye maneno makali ili asinione zoba maana amezidisha dharau sana kiasi kwamba uwa najuta kumfahamu.
Sasa nilitaka kujua kama kuna uwezekano wa siku za baadaye tukarudisha mapenzi yetu ingawa saivi tushatukanana sana, wenye experience na hii hali naomba mnisaidie.
Lakini moyo wangu bado unampenda huyu msichana na nilijitutumua kurushiana naye maneno makali ili asinione zoba maana amezidisha dharau sana kiasi kwamba uwa najuta kumfahamu.
Sasa nilitaka kujua kama kuna uwezekano wa siku za baadaye tukarudisha mapenzi yetu ingawa saivi tushatukanana sana, wenye experience na hii hali naomba mnisaidie.