Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume, kila siku tume, wapate pa kulia chakula...!
Ndg wana jf wenzangu,
Nachukua fursa hii kutoa yangu ya moyoni kuusu tume zinazoundwa kila kukicha hapa nchi kwetu Tanzania.Sikatai tume wala sipingi tume ila nina pingana na katabia kaliko zoeleka ka kuunda tume hata mahali pasipo hitaji uchunguzi wa tume [mfano]matokeo ya fom4.
Hili ndio la kuchekesha kabisa alihitaji hata kuundiwa tume bali ni kuchua hatua tu ni kufumua wizara nzima ya elimu Tanzania waziri na makatibu walitakiwa wawe wamesha achia ngazi.
Tatizo linafahamika Tanzania hamna mitaala,walimu wanaidai serikali posho na nyongeza ya mishaara yao ili lipo wazi kabisa kwamba serikali ili washurutisha walimu waendelee na kazi bila kuwa sikiliza na kutatua au kumalizana nao kwa njia za mazungumzo.Haya yalichangia sana matokeo haya ya asili mia 60 kupata 0.
Walimu baada ya kushurutishwa na mahakama walirejea kufundisha lakini ule moyo wa kufundisha hawakua nao tena sasa hapa tume ya nini? haya ni matumizi mabaya ya fedha za watanzania na kukosekana kwa uwajibikaji wa serikali katika mambo mazito ya nayo husu nchi yetu na matumizi mabaya ya rasilimali fedha za watanzania.
Tume zinaundwa mapesa wanalipwa,majibu au mapendekezo ya tume yanatupwa kapuni,fikiria tume ya jaji Kisanga,tume ya Richmond,tume ya Nyalali,na nyingine nyingi je, serikali ituambie imetendea kazi kwa kiasi gani mapendekezo ya tume hizi?
Kama haijafanya chochote na mafisadi wala rushwa wanatembea vifua mbele na kusafishwa na serikali kwakupewa ulaji serikalini.
Tume tume tume kila siku tume za nini?
Ndg wana jf wenzangu,
Tume tume tume kila siku tume za nini?
Ndg wana jf wenzangu,
Nachukua fursa hii kutoa yangu ya moyoni kuusu tume zinazoundwa kila kukicha hapa nchi kwetu Tanzania.Sikatai tume wala sipingi tume ila nina pingana na katabia kaliko zoeleka ka kuunda tume hata mahali pasipo hitaji uchunguzi wa tume [mfano]matokeo ya fom4.
Hili ndio la kuchekesha kabisa alihitaji hata kuundiwa tume bali ni kuchua hatua tu ni kufumua wizara nzima ya elimu Tanzania waziri na makatibu walitakiwa wawe wamesha achia ngazi.
Tatizo linafahamika Tanzania hamna mitaala,walimu wanaidai serikali posho na nyongeza ya mishaara yao ili lipo wazi kabisa kwamba serikali ili washurutisha walimu waendelee na kazi bila kuwa sikiliza na kutatua au kumalizana nao kwa njia za mazungumzo.Haya yalichangia sana matokeo haya ya asili mia 60 kupata 0.
Walimu baada ya kushurutishwa na mahakama walirejea kufundisha lakini ule moyo wa kufundisha hawakua nao tena sasa hapa tume ya nini? haya ni matumizi mabaya ya fedha za watanzania na kukosekana kwa uwajibikaji wa serikali katika mambo mazito ya nayo husu nchi yetu na matumizi mabaya ya rasilimali fedha za watanzania.
Tume zinaundwa mapesa wanalipwa,majibu au mapendekezo ya tume yanatupwa kapuni,fikiria tume ya jaji Kisanga,tume ya Richmond,tume ya Nyalali,na nyingine nyingi je, serikali ituambie imetendea kazi kwa kiasi gani mapendekezo ya tume hizi?
Kama haijafanya chochote na mafisadi wala rushwa wanatembea vifua mbele na kusafishwa na serikali kwakupewa ulaji serikalini.
Tume tume tume kila siku tume za nini?
kiongozi kabla ya kuhoji huo mtaala wa elimu jiulize kwanini haya hayakutokea mwaka jana au mwaka juzi na kwani swala la mtaala wa elimu limeanza mwaka 2012? tafakari.Ndg wana jf wenzangu,
Nachukua fursa hii kutoa yangu ya moyoni kuusu tume zinazoundwa kila kukicha hapa nchi kwetu Tanzania.Sikatai tume wala sipingi tume ila nina pingana na katabia kaliko zoeleka ka kuunda tume hata mahali pasipo hitaji uchunguzi wa tume [mfano]matokeo ya fom4.
Hili ndio la kuchekesha kabisa alihitaji hata kuundiwa tume bali ni kuchua hatua tu ni kufumua wizara nzima ya elimu Tanzania waziri na makatibu walitakiwa wawe wamesha achia ngazi.
Tatizo linafahamika Tanzania hamna mitaala,walimu wanaidai serikali posho na nyongeza ya mishaara yao ili lipo wazi kabisa kwamba serikali ili washurutisha walimu waendelee na kazi bila kuwa sikiliza na kutatua au kumalizana nao kwa njia za mazungumzo.Haya yalichangia sana matokeo haya ya asili mia 60 kupata 0.
Walimu baada ya kushurutishwa na mahakama walirejea kufundisha lakini ule moyo wa kufundisha hawakua nao tena sasa hapa tume ya nini? haya ni matumizi mabaya ya fedha za watanzania na kukosekana kwa uwajibikaji wa serikali katika mambo mazito ya nayo husu nchi yetu na matumizi mabaya ya rasilimali fedha za watanzania.
Tume zinaundwa mapesa wanalipwa,majibu au mapendekezo ya tume yanatupwa kapuni,fikiria tume ya jaji Kisanga,tume ya Richmond,tume ya Nyalali,na nyingine nyingi je, serikali ituambie imetendea kazi kwa kiasi gani mapendekezo ya tume hizi?
Kama haijafanya chochote na mafisadi wala rushwa wanatembea vifua mbele na kusafishwa na serikali kwakupewa ulaji serikalini.
Tume tume tume kila siku tume za nini?