Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Habari za humu ,bila kupoteza wakati naomba nizishauri Tume zetu za Uchaguzi yaani NEC na ZEC. Kwasasa kuna wimbi la wanaodhani ni muda muafaka kua na Tume Huru ya Uchaguzi bila shaka wanazo sababu zao za msingi.
Kwangu mimi kama mzalendo na mlipa kodi kwa serikali basi nashauri kua yafuatayo yafanyiwe marekebish na maboresho asa upande wa wapiga kura. Yaani sifa za mtu kupiga kura ziwe kama ifuatavyo.
1.Awe raia halali wa Tanzania
2. Awe mkazi halali wa moja ya sehemu ya muungano wa Tanzania
3. Awe ametimiza miaka zaidi ya 18 na kuendelea
4.Awe na akili timamu
5. Awe mtu mwenye akili timamu
6.Awe amajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
7.Awe ni mtu mwenye Kujitegemea na mwenye kipato halali
8.Awe raia ambae amelipa au amalipa kodi kwa serikali yake.
9.Awe amehitimu angalau kidato cha nne
10.Awe ameshiriki katika mafunzo ya kujitolea kujenga Taifa ( JKT) au mgambo.
Huyu mtu apo atajua kweli watafanya maamuzi yaliyo sahii kabisa.
Tume ipo huru sasa basi tufanyeni maboresho katika vipengele vya haki na kanuni kwa mpiga kura.
Ahsanteni
Kwangu mimi kama mzalendo na mlipa kodi kwa serikali basi nashauri kua yafuatayo yafanyiwe marekebish na maboresho asa upande wa wapiga kura. Yaani sifa za mtu kupiga kura ziwe kama ifuatavyo.
1.Awe raia halali wa Tanzania
2. Awe mkazi halali wa moja ya sehemu ya muungano wa Tanzania
3. Awe ametimiza miaka zaidi ya 18 na kuendelea
4.Awe na akili timamu
5. Awe mtu mwenye akili timamu
6.Awe amajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura
7.Awe ni mtu mwenye Kujitegemea na mwenye kipato halali
8.Awe raia ambae amelipa au amalipa kodi kwa serikali yake.
9.Awe amehitimu angalau kidato cha nne
10.Awe ameshiriki katika mafunzo ya kujitolea kujenga Taifa ( JKT) au mgambo.
Huyu mtu apo atajua kweli watafanya maamuzi yaliyo sahii kabisa.
Tume ipo huru sasa basi tufanyeni maboresho katika vipengele vya haki na kanuni kwa mpiga kura.
Ahsanteni