LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Wana Jf, nimepokea simu kwa kiongozi wa kitongoji changu kwamba Mkurugenzi amewaambia zoezi la kuandikisha wapiga kura Arusha limeahirishwa na vifaa vimechukuliwa hadi itakapo tangazwa twna. Kama ni kqwli hii ni dharau kwa Wana wa Arusha, kuna tukio kuwa safari na baada ya kuona tangazo la Tume kwenye vyombo vya habari tukarudi Arusha kujiandikisha. Naomba mqenye taarifa sahihi aziweke hapa.