Tume ya Warioba kutofanya kazi yake Zanzibar?

Khakha

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
2,982
1,009
wadau JF,
Nimesoma gazeti la citizen leo kuwa kumbe ile sheria iliyounda tume ya warioba haiwezi kufanya kazi znz hadi ipitishwe na baraza la wawakilishi. hii inafuatia masharti ya ibara ya 132 ya katiba ya znz ya 1984. werema na othman wamesema itakuwa tabled kwenye baraza la june halafu ndo shein aisaini kutumika znz. kwa hiyo warioba hawezi kwenda znz kukusanya maoni hadi ipite.
jusa kaongezea kuwa isipopitishwa na wajumbe wa baraza ina maana kuwa warioba, automatically hataenda znz kukusanya maoni.
wadau hii imekaaje? hivi toka mwanzo hili sharti halikulikana hadi tume inaanza kazi yake?
 
Zanzibar wana katiba yao, kwa nini na sisi watanganyika tusikusanye maoni ya kuunda katiba ya tanganyika? Kwa mantiki hii ina maana wazanzibar wakikataa tutaendelea kuishi na hii katiba mbovu milele. Wazanzibar wanatuchagulia jinsi ya kuishi katika nchi yetu wakati sisi huo uwezo hatuna kuwachagulia maisha yao.
 
Tulijua itatokea ndo maana tusisitiza Tanganyika iko mbioni kuzaliwa kwa mara ya pili.Werema ni bomu kwa Tanzania hasomi, bora Mnyika ashike nafasi ya AG kwa muda, vinginevyo huyu juha atupeleka polini wajameni
 
Huo ni wakati muafaka wa kuunda Katiba ya Tanganyika.Zanzibar haitapita kirahisi Sheria hiyo...
 
Mimi nadhani waheshimiwa wasifanye mzaha, katiba wanayodhani haitapatikana hiyo 2014. Suala la muungano ni lazima liamuliwe kwanza. Katiba tunayoitaka ni ya Tanganyika period.
 
Asanteni wazanzibari kwa kuonyesha ujirani mwema ama kweli fimbo ya mbali haiuwi nyoka, safari hii ulaya hawatasaidia ni wazanzibar wataokoa jahazi.Tunaomba wazanzibar mkatae kabisa na sisi tutawalipa fadhira kwa kutowafukuza wapemba Tanganyika na mtaingia Tanganyika bila PASSPORT.Go zanzibar go, go wawakilishio go JUSSA MAALIMU SEIF GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Nawahurumia sana mnaodhani kuwa chini ya ccm hii tutapata katiba nzuri kwa faida ya taifa hili. Serikali yenyewe imejaa vilaza ambao kipaumbele chao ni matumbo yao na chama chao...
 
Mimi nadhani waheshimiwa wasifanye mzaha, katiba wanayodhani haitapatikana hiyo 2014. Suala la muungano ni lazima liamuliwe kwanza. Katiba tunayoitaka ni ya Tanganyika period.
Kwa bahati mbaya sana Muunguano hauruhusiwi kujadiliwa ndani ya majadiliano yaliyoanzishwa isipookuwa kujadili jinsi ya kuuimarisha. Wakati wengi wanatana uimarishwe kwa kuurekebisha, watawala wanadhani kuzungumzia kuurekebisha kunalenga kuua.
 
Mi nashauri tusitishe zoezi la kuunda katiba tukomboe kwanza nchi toka mikononi mwa mkoloni mweusi ccm
 
Huu ndio huo tunaouita ukilaza wa sheria kuanzia kwa mwanasheria wetu mkuu mpaka chini!. Hawamshauri vizuri rais!.

Mpaka kesho mimi bado nalia na mawaziri ambao ni wabunge wateule!. Katiba ilipotamka rais atateua mawaziri miongoni mwa wabunge ilimaanisha ubunge ndio pre requisite ya uwaziri!. Katiba haikumaaisha wabunge wateule!.

Sasa kitakachofuata kule Zanzibar, sheria hiyo ya tume ya kukusanya maoni haitapitishwa kwanza mpaka itakapowekwa kipengele cha Wazanzibar kutoa maoni kuhusu muungano na kwenye hili, CUF na CCM Zanzibar lao ni moja na watakuwa wamoja kama kwenye suala la mafuta!.
 
usiwe na wasisi mkuuu b4 2015 kitaeleweka tu, ccm ndio inafikia ukingoni tunachotakiwa wa-tangayinga tuache unazi wa uchama na tuilimishane bila ya jazba kwani ccm wanatumilia mwanya huu wa kutugawgawa, kidini, kikabila sasa wanajaribu kijeografia (hawa wanatoka mikoa ya kusini sijui mashariki ... haya tu. tuwe makini tutachukua tangayika yetu na katiba yetu very soon. hio tume yao ya katiba watatafuta kwa kuipelaka

Nawahurumia sana mnaodhani kuwa chini ya ccm hii tutapata katiba nzuri kwa faida ya taifa hili. Serikali yenyewe imejaa vilaza ambao kipaumbele chao ni matumbo yao na chama chao...
 
wadau JF,
Nimesoma gazeti la citizen leo kuwa kumbe ile sheria iliyounda tume ya warioba haiwezi kufanya kazi znz hadi ipitishwe na baraza la wawakilishi. hii inafuatia masharti ya ibara ya 132 ya katiba ya znz ya 1984. werema na othman wamesema itakuwa tabled kwenye baraza la june halafu ndo shein aisaini kutumika znz. kwa hiyo warioba hawezi kwenda znz kukusanya maoni hadi ipite.
jusa kaongezea kuwa isipopitishwa na wajumbe wa baraza ina maana kuwa warioba hataenda znz.
wadau hii imekaaje? hivi toka mwanzo hili sharti halikulikana hadi tume inaanza kazi yake?

Mbona kila kukicha kunakuwa na mikanganyiko ya kisheria hapa nchini? Kama ni hivyo ilikuwaje wakamshauri Rais ateue Kamati kabla ya kuipitisha hiyo sheria? Ilikuwaje wajumbe wa tume toka Zanzibar wakateuliwa na kuapishwa wakati hiyo sheria ya kuwateua haijapitishwa huko kwao?

Mikanganyiko mingine wala haikutakiwa kuwepo kama kuna wataalam makini wa sheria. Sheria ingepitishwa JMT na ikaenda SMZ ikapitishwa na kusainiwa kisha basi Rais akateua hao wajumbe na kuwaapisha kuliko hiki kilichofanyika.
 
Huu ndio huo tunaouita ukilaza wa sheria kuanzia kwa mwanasheria wetu mkuu mpaka chini!. Hawamshauri vizuri rais!.

Mpaka kesho mimi bado nalia na mawaziri ambao ni wabunge wateule!. Katiba ilipotamka rais atateua mawaziri miongoni mwa wabunge ilimaanisha ubunge ndio pre requisite ya uwaziri!. Katiba haikumaaisha wabunge wateule!.

Sasa kitakachofuata kule Zanzibar, sheria hiyo ya tume ya kukusanya maoni haitapitishwa kwanza mpaka itakapowekwa kipengele cha Wazanzibar kutoa maoni kuhusu muungano na kwenye hili, CUF na CCM Zanzibar lao ni moja na watakuwa wamoja kama kwenye suala la mafuta!.

Huo ndio uzalendo unatakiwa watanganyike muonyeshe sio kuungana kuwatoa kina Ngeleja & cos, watanganyika kwa umoja wetu tuungane kudai tanganyika kwa wakati huu kwa kusaidiwa na kiburi cha wazanzibari
 
Watanganyika na wazanzibari tuwe kitu kimoja kusambaratisha Tanzania.kila kila nchi na zake pambafuuuuu ccm
 
wadau JF,
Nimesoma gazeti la citizen leo kuwa kumbe ile sheria iliyounda tume ya warioba haiwezi kufanya kazi znz hadi ipitishwe na baraza la wawakilishi. hii inafuatia masharti ya ibara ya 132 ya katiba ya znz ya 1984. werema na othman wamesema itakuwa tabled kwenye baraza la june halafu ndo shein aisaini kutumika znz. kwa hiyo warioba hawezi kwenda znz kukusanya maoni hadi ipite.
jusa kaongezea kuwa isipopitishwa na wajumbe wa baraza ina maana kuwa warioba, automatically hataenda znz kukusanya maoni.
wadau hii imekaaje? hivi toka mwanzo hili sharti halikulikana hadi tume inaanza kazi yake?

Haya maibara haya hatufiki mbali lazima tubadilike
 
Mbona kila kukicha kunakuwa na mikanganyiko ya kisheria hapa nchini? Kama ni hivyo ilikuwaje wakamshauri Rais ateue Kamati kabla ya kuipitisha hiyo sheria? Ilikuwaje wajumbe wa tume toka Zanzibar wakateuliwa na kuapishwa wakati hiyo sheria ya kuwateua haijapitishwa huko kwao?

Mikanganyiko mingine wala haikutakiwa kuwepo kama kuna wataalam makini wa sheria. Sheria ingepitishwa JMT na ikaenda SMZ ikapitishwa na kusainiwa kisha basi Rais akateua hao wajumbe na kuwaapisha kuliko hiki kilichofanyika.
tatizo baya ni kwamba kiongozi anachagua watu huku akisema "sitaki kusikia swala la muuungano"kwa hio hata kama unataka kumshauri kuwa muzee hili haliwezekani kwa sababu hii na ile.yeye hataki ushauri huo,eti ndo kulinda muungano-sijui ni lini huu muungano wa kiajabu ajabu utakufa nifanye mambo yangu kwa amani
 
Tunashukuru kwa kuwa na Rais asiye makini na mwanasheria mkuu asiye makini hawa ndiyo watasaidia sana kurahisisha M4C ifikiwe mapema kuliko matarajio ya wengi.Hili la Zanzibar limenipa faraja kwani sasa tumepata njia ya kuwahi.Go wazanzibari
 
Mbona kila kukicha kunakuwa na mikanganyiko ya kisheria hapa nchini? Kama ni hivyo ilikuwaje wakamshauri Rais ateue Kamati kabla ya kuipitisha hiyo sheria? Ilikuwaje wajumbe wa tume toka Zanzibar wakateuliwa na kuapishwa wakati hiyo sheria ya kuwateua haijapitishwa huko kwao?

Mikanganyiko mingine wala haikutakiwa kuwepo kama kuna wataalam makini wa sheria. Sheria ingepitishwa JMT na ikaenda SMZ ikapitishwa na kusainiwa kisha basi Rais akateua hao wajumbe na kuwaapisha kuliko hiki kilichofanyika.

mkuu kimbunga
werema na othman wanatumia precedent ya maamuzi ya mahakama ya rufaa kwenye kesi ya maalim seif ya mwaka 1992 ili kujustify kwamba jambo likishajadiliwa na bunge la muungano basi linakuwa valid pande zote za muungano. nadhani walijisahau kuwa kuna sheria katibani znz inayoeleza jinsi ya kuziingiza sheria zilizotungwa na bunge la muungano.
naona baraza la wawakilishi mwezi june litakuwa tamu sana. nauliza tena hivi wabobezi wa sheria serikalini hawakuliona hilo mapema?
 
Zanzibar wana katiba yao, kwa nini na sisi watanganyika tusikusanye maoni ya kuunda katiba ya tanganyika? Kwa mantiki hii ina maana wazanzxibar wakikataa tutaendelea kuishi na hii katiba mbovu milele. Wazanzibar wanatuchagulia jinsi ya kuishi katika nchi yetu wakati sisi huo uwezo hatuna kuwachagulia maisha yao.

Ndo hivyo mpaka rais wanatuchagulia!
 
Mi sijui sheria lakini sidhani kama tume haiwezi kukusanya maoni kule,kwani hii ni katiba ya muungano na automatic hii ni swala la muungano.sheria ya kuunda tume na kuruhusu ikusanye maoni ilitungwa na watanzania wote zanzibar wakiwemo kupitia wabunge
 
Back
Top Bottom