Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
wadau JF,
Nimesoma gazeti la citizen leo kuwa kumbe ile sheria iliyounda tume ya warioba haiwezi kufanya kazi znz hadi ipitishwe na baraza la wawakilishi. hii inafuatia masharti ya ibara ya 132 ya katiba ya znz ya 1984. werema na othman wamesema itakuwa tabled kwenye baraza la june halafu ndo shein aisaini kutumika znz. kwa hiyo warioba hawezi kwenda znz kukusanya maoni hadi ipite.
jusa kaongezea kuwa isipopitishwa na wajumbe wa baraza ina maana kuwa warioba, automatically hataenda znz kukusanya maoni.
wadau hii imekaaje? hivi toka mwanzo hili sharti halikulikana hadi tume inaanza kazi yake?
Nimesoma gazeti la citizen leo kuwa kumbe ile sheria iliyounda tume ya warioba haiwezi kufanya kazi znz hadi ipitishwe na baraza la wawakilishi. hii inafuatia masharti ya ibara ya 132 ya katiba ya znz ya 1984. werema na othman wamesema itakuwa tabled kwenye baraza la june halafu ndo shein aisaini kutumika znz. kwa hiyo warioba hawezi kwenda znz kukusanya maoni hadi ipite.
jusa kaongezea kuwa isipopitishwa na wajumbe wa baraza ina maana kuwa warioba, automatically hataenda znz kukusanya maoni.
wadau hii imekaaje? hivi toka mwanzo hili sharti halikulikana hadi tume inaanza kazi yake?