nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Tume ya utumishi wa Mahakama imewafukuza kazi waajiriwa wapya 385 walioajiriwa mwezi June 2016 na kuanza kufanya kazi kwenye Mahakama mbalimbali Tanzania walisainishwa mikataba yote ya kazi na kuanza kufanya kazi Moja mmoja .
Source. EATV
Source. EATV