Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Watanzania nawasalimu
Nakumbuka wakati Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano Rais Samia anapokea ripoti ya CAG pale Dodoma alilitangazia taifa kuwa ameagiza uchunguzi ufanyike bank kuu kati ya Jan - March 2021 kutokana na uchotwaji wa pesa uliofanywa kipindi hicho.
Nadhani sasa ni muda muafaka kama uchunguzi huo umekamilika ukatujulisha wananchi kama ulivyotutangazia. Pia ukawataja wahusika kama wapo bila kuogopa.
Madaraka yao ili ujijengee imani kwa sisi wananchi.
Nakumbuka wakati Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano Rais Samia anapokea ripoti ya CAG pale Dodoma alilitangazia taifa kuwa ameagiza uchunguzi ufanyike bank kuu kati ya Jan - March 2021 kutokana na uchotwaji wa pesa uliofanywa kipindi hicho.
Nadhani sasa ni muda muafaka kama uchunguzi huo umekamilika ukatujulisha wananchi kama ulivyotutangazia. Pia ukawataja wahusika kama wapo bila kuogopa.
Madaraka yao ili ujijengee imani kwa sisi wananchi.