Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Aibu ya mwaka kwa balaa na mwendelezo huu wa DHAMBI ya uchakachuaji tena wa uchaguzi nchini.
Hama kweli watu wenye mizigo yao CCM utawafahamu tu.Nijambo gani unalo lifahamu katika historia ya ya Sereikali ya CCM, kwamba walisha wahi kufanya makosa/madudu na wakakubali makosa.Mifano michache:1: Pesa za EPA 2: Richmond3: Dowans4: Meremeta5: Rada6: Waweza kuongeza mengine mengi.Haya na mengine mengi, sijawahi kusikia serikali imekiri kuhusika na pale ambapo inabanwa zaidi utasikia "TUNAWAFAHAMU,TUTAWACHUKULIA HATUA, FEDHAZIMERUDISHWA NA TUTAZIPELEKA KWENYE MIRADI n.k. Lakini ukiwauliza waliohusika ni kina nani, hautapata jibu. Kwa hiyo hilo la kuongezwa kwa vituo ni jambo ambalo lipo, lakini husitegemee wakiri kuwa ni kweli tume imefaya hivyo.Leo ajabu ujaweka My Take...Chadema tumeishawazoe kwa kulalamika bila ushahidi wowote, mara nyingi uwa wanaanza kulalamika kipindi cha kampeni, kama mtakumbuka Slaa, alishawahi kusema kuna kontena la futi 20 limekamatwa Tunduma limejaa karatasi za kupigia kura, Polisi walipolifungua wakakuta vipodozi.
Ni aibu kweli, these people think we are all stupid, angalia kata ya Songoro anayotoka Nassari ndiyo haijaongezwa kituo hewa.Aibu ya mwaka kwa balaa na mwendelezo huu wa DHAMBI ya uchakachuaji tena wa uchaguzi nchini.
No | Kata | Idadi vituo(Halali) | Vituo baada ya kuongezwa | Vituo hewa |
1 | Akheri | 18 | 20 | 2 |
2 | Kikatiti | 18 | 22 | 4 |
3 | Kikwe | 11 | 12 | 1 |
4 | Kingori | 26 | 29 | 3 |
5 | Leguruki | 20 | 23 | 3 |
6 | Makiba | 18 | 21 | 3 |
7 | Maji ya chai | 24 | 29 | 5 |
8 | Maroroni | 17 | 21 | 4 |
9 | Mbuguni | 21 | 25 | 4 |
10 | Nkoarsambu | 8 | 10 | 2 |
11 | Ngarenanyuki | 20 | 26 | 6 |
12 | Nkoaranga | 17 | 22 | 5 |
13 | Pori | 16 | 20 | 4 |
14 | Nkwandua | 22 | 25 | 3 |
15 | Seela - Sing'isi | 12 | 15 | 3 |
16 | Songoro | 15 | 15 | 0 |
17 | Usa River | 36 | 41 | 5 |
Ni aibu kweli, these people think we are all stupid, angalia kata ya Songoro anayotoka Nassari ndiyo haijaongezwa kituo hewa.
No
Kata
Idadi
vituo(Halali)
Vituo baada ya kuongezwa
Vituo
hewa
1
Akheri
18
20
2
2
Kikatiti
18
22
4
3
Kikwe
11
12
1
4
Kingori
26
29
3
5
Leguruki
20
23
3
6
Makiba
18
21
3
7
Maji ya chai
24
29
5
8
Maroroni
17
21
4
9
Mbuguni
21
25
4
10
Nkoarsambu
8
10
2
11
Ngarenanyuki
20
26
6
12
Nkoaranga
17
22
5
13
Pori
16
20
4
14
Nkwandua
22
25
3
15
Seela - Singisi
12
15
3
16
Songoro
15
15
0 17
Usa River
36
41
5
Leo ajabu ujaweka My Take...Chadema tumeishawazoe kwa kulalamika bila ushahidi wowote, mara nyingi uwa wanaanza kulalamika kipindi cha kampeni, kama mtakumbuka Slaa, alishawahi kusema kuna kontena la futi 20 limekamatwa Tunduma limejaa karatasi za kupigia kura, Polisi walipolifungua wakakuta vipodozi.
Ni aibu kweli, these people think we are all stupid, angalia kata ya Songoro anayotoka Nassari ndiyo haijaongezwa kituo hewa.
No
Kata
Idadi
vituo(Halali)
Vituo baada ya kuongezwa
Vituo
hewa
1
Akheri
18
20
2
2
Kikatiti
18
22
4
3
Kikwe
11
12
1
4
Kingori
26
29
3
5
Leguruki
20
23
3
6
Makiba
18
21
3
7
Maji ya chai
24
29
5
8
Maroroni
17
21
4
9
Mbuguni
21
25
4
10
Nkoarsambu
8
10
2
11
Ngarenanyuki
20
26
6
12
Nkoaranga
17
22
5
13
Pori
16
20
4
14
Nkwandua
22
25
3
15
Seela - Singisi
12
15
3
16
Songoro
15
15
17
Usa River
36
41
5
Vituo hewa ndiyo njia kuu inayotumiwa na CCm ikishirikiana na NEC kujiongezea kura ukiondoa ile ya kununua kadi ambayo ipo too risky and costly. CDM wakidhibiti mbinu hii katika chaguzi zote watakuwa karibu kushinda vita. Kwa kugundulika mbinu hii CCM watakuwa hawalali kuitana kwenye vikao.Hii ni aibu sana kwa kweli;makosa ya uchapishaji yamefanyika kwenye kila kata kasoro kata ya Songoro nyumbani kwa mgombea wa CHADEMA?Then jaji Lubuva and his CO anakuja kutetea udanganyifu kwenye uchaguzi?Kwa vituo 55 hewa kila kituo ukiweka kura "za maruhani 200"tu unakusanya kura hewa 11,000 na Sioi wa CCM angeshinda uchaguzi easily!
CHADEMA wapigane kuhakikisha vituo hewa 55 havileti hata kura 1 ya nyongeza na wanashinda uchaguzi huu;uwizi huu ndiyo walioutumia Igunga mwaka jana na Kyela mwaka 2005!