tanira1
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 942
- 159
wakuu leo nimesikia kichwa cha habari cha gazeti moja hapa nchini likiwa na habari ya kuwa tume ya uchguzi iko taaban kifedha katika kuboresha daftari la wapiga kula kwa ajili ya uchaguzi wa 2015, kwangu mimi huu ni mkakati mpya wa watawala kuhakikisha daftari hilo hariboreshwi hili tuingie uchaguzi kwa daftari la zamani wadau tujadili nini kinachopaswa kufanywa kunusuru taifa hili zidi ya mbinu chafu