Hili ni ombi langu kwenu tume, kwamba uchaguzi ujao, punguzeni majimbo ya uchaguzi. Hatuwezi kuendelea kwa kuwa na majimbo kila mtaa. Ongezeko la majimbo limeifanya siasa kuwa ni agenda ya nchi, kila siku. Kila siku! Hakuna anayezungumzia elimu au afya kila siku. Ni siasa kila siku.
Ktk kipindi cha takriban miaka 30, nchi ina wanasiasa wengi kuliko waalimu na madaktari! Ukiongeza shule tutaelewa pia kwamba ndo ajenda ya nchi na ni hivyo kama utaongeza hospitali na ukubwa wa mashamba. Kuna watu sasa hivi wnalipwa kwa kufanya siasa bila kazi nyingine ktk maisha yao. Huu ni uzembe na haitachukuwa miaka mingi kila mwanafunzi atachukia udaktari, uinjinia na kutamani siasa tuu!
Tumechoka! Pelekeni pesa ktk mambo ya msingi kitaifa acheni kujiongezea kazi kwa kuongeza majimbo. Hii haihitaji katiba ni uamuzi wenu Tume ya uchaguzi.
Ktk kipindi cha takriban miaka 30, nchi ina wanasiasa wengi kuliko waalimu na madaktari! Ukiongeza shule tutaelewa pia kwamba ndo ajenda ya nchi na ni hivyo kama utaongeza hospitali na ukubwa wa mashamba. Kuna watu sasa hivi wnalipwa kwa kufanya siasa bila kazi nyingine ktk maisha yao. Huu ni uzembe na haitachukuwa miaka mingi kila mwanafunzi atachukia udaktari, uinjinia na kutamani siasa tuu!
Tumechoka! Pelekeni pesa ktk mambo ya msingi kitaifa acheni kujiongezea kazi kwa kuongeza majimbo. Hii haihitaji katiba ni uamuzi wenu Tume ya uchaguzi.