kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Tunaelewa JKT Wana miradi wanayosimamia na yawezekana wanalipwa kujenga majukwaa ya CCM kwa ajili ya kampeni. Ila huu ni uchaguzi na jeshi ni chombo neutral katika issue kama hizi, tuliona Dodoma magereza wakitumia wafungwa kufunga bendera za chama, leo Singida JKT wanaingia mtaani kutengeneza majukwaa, si sawa.
Hawa vijana wanapaswa kujitolea kulinda nchi siyo kulinda chama, wafungwa wanapaswa kuzalisha kwa ajili ya nchi siyo kwa ajili ya chama. Kuendelea kuruhusu haya yaendelee nikuhatarisha usalama wa nchi.
TUME YA UCHAGUZI MNAPWAYA SANA, MNASHINDWA KUKEMEA HATA MAMBO YA KAWAIDA KABISA, MMEDHARAULIKA NA KUENDESHWA NA SERIKALI HADI LADHA YA TUME HAKUNA. MAJAJI WETU SIJUI WANAJAJI NINI?
JAJI ANAPASWA KUSIMAMIA HAKI SIYO KUSIMAMISHWA KUSIMAMIA HAKI,
Hawa vijana wanapaswa kujitolea kulinda nchi siyo kulinda chama, wafungwa wanapaswa kuzalisha kwa ajili ya nchi siyo kwa ajili ya chama. Kuendelea kuruhusu haya yaendelee nikuhatarisha usalama wa nchi.
TUME YA UCHAGUZI MNAPWAYA SANA, MNASHINDWA KUKEMEA HATA MAMBO YA KAWAIDA KABISA, MMEDHARAULIKA NA KUENDESHWA NA SERIKALI HADI LADHA YA TUME HAKUNA. MAJAJI WETU SIJUI WANAJAJI NINI?
JAJI ANAPASWA KUSIMAMIA HAKI SIYO KUSIMAMISHWA KUSIMAMIA HAKI,