Huwezi kuwa na tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya, acheni uzwazwa.....
Tume huru inahitajika kwanza kwani ndiyo itakayo ipitisha hata katiba mpya kwa uhuru na uwazi.
Huwezi kuwa na tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya, acheni uzwazwa.....
Ni kamaNi kama wanapendekeza iundwe Tume Huru ya uchaguzi!
Kwa akili yako mgombea wa upinzani akishinda basi inakuwa ni ishara tosha kiwa tume ni huru!!!!!!???Ni kama vile tume huru ipo muda mrefu ndio maana kina Mbowe, Zito, Sugu, Kubenea, Lisu, Mnyika, Msigwa, Lema na wengineo wengi kutoka upinzan waliweza kushinda chaguzi zaidi ya tatu mfululizo. Ila tatizo lililopo ni kwamba watanzania wa sasa sio wale wa 1999. Wengi wanajitambua na kuijua siasa vizuri, ndio maana hawako tayar kurubuniwa na wanasiasa uchwara anymore. Huwezi kuja kugombea jimbo la hai afu ukishapata ushindi unakimbilia dar na dubai huku ukituacha wana hai hatuna maji, barabara, hospital wala kisima cha maji safi. Afu utegemee kila uchaguzi utakuja tukuchague. Jimbo hili haliwezi kufanywa shamba la bibi na mchumia tumbo yoyote!!!
Haya yote Ni mavi uharo bila time huru ya UCHAGUZI na Katiba mpyaTume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
1.Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.
2.Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.
3.Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.
4.Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.
5.Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.
6.Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
MaviNi kama wanapendekeza iundwe Tume Huru ya uchaguzi!
Kina m sarungi &co wanakenua kwa pendekezo hiliTume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
6.Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Mapendekezo mazuri kiasi chakeTume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
1.Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.
2.Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.
3.Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.
4.Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.
5.Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.
6.Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Tunataka katiba mpya na hayo yaangaliwe ndani ya katiba mpya.
Ni kama wanapendekeza iundwe Tume Huru ya uchaguzi!
Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.Hii hapanaTume ya Taifa ya UCHAGUZI (NEC) inapendekeza yafuatayo:-
1. Sheria ya Uchaguzi irekebishwe ili kuongeza ufanisi.
2. Tume iwe na watumishi wake mpaka ngazi ya Wilaya.
3. Kuwe na sheria moja ya Uchaguzi.
4. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usimamiwe na Tume.
5. Wanaopita bila kupingwa Wabunge na Madiwani wapigiwe kura za NDIYO/ HAPANA.
6. Asasi zinazotoa elimu ya Uraia ziwezeshwe na Serikali.
Kuna uhuru gani hapaNi kama wanapendekeza iundwe Tume Huru ya uchaguzi!
Pendekezo namba 2 umelielewa!?Mbwa kabisa ndio mapendekezo gani Sasa hayo? Yani badala ya kusema time iwe huru, wakurugenzi wa halmashauri wasihusike kwa namna yoyote ile kusimamia uchaguzi, walimu na watumishi wa umma wasiwe na majukumu ya uchaguzi Wala uteuzi wa mwenyekiti wa tume yenyewe asichaguliwe na Ccm wao wanaleta mapendekezo yakishamba kabisa yasikuwa na tija.