Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,466
- 2,642
Wasalaam, japo sina imani na tume ya uchaguzi nec kutokana muundo wake ambapo 100% ya watumishi wake ni makada watiifu wa ccm na huteuliwa na m/kiti wa ccm.
Napenda kutoa maoni ni Vema tume hii ya uchaguzi ya ccm ikaandikisha wapiga kura wapya ktk daftari la kudumu la mpiga kura mapema kuepusha sintofahamu inayoweza kutokea kuelekea chaguzi zijazo. Nasema haya maana sioni dalili za jambo hili wala sioni dalili za watanzania kudai tume huru ya uchaguzi ambayo haitateuliwa na m/kiti wa ccm km ilivyo leo ili kuwe na chaguzi huru.
Napenda kutoa maoni ni Vema tume hii ya uchaguzi ya ccm ikaandikisha wapiga kura wapya ktk daftari la kudumu la mpiga kura mapema kuepusha sintofahamu inayoweza kutokea kuelekea chaguzi zijazo. Nasema haya maana sioni dalili za jambo hili wala sioni dalili za watanzania kudai tume huru ya uchaguzi ambayo haitateuliwa na m/kiti wa ccm km ilivyo leo ili kuwe na chaguzi huru.