Ukiangalia sasa hivi namna rais anavyoongoza hili taifa, ni dhahiri shahiri kuwa amelewa madaraka na hajali tena wananchi wake, si wakulima wanaolima kwa shida na tabu, si wafanyabiashara wala wafanyakazi wana ahueni kwa sasa, kila wanapojaribu kuongea wanakejeliwa na kutishiwa.
Haya yote yanafanyika kwa sababu hatuna tume huru ya uchaguzi, kama hii ingelikuwa na tume huru na huru kweli kweli rais Magufuli asingelikuwa na kiburi hivi, angeonesha kuwajali wananchi na kusikiliza kile wanachokihitaji.
Rais amekuwa na kiburi kwa sababu anajua fika kuwa tume ya uchaguzi ipo chini yake, hata uchaguzi ukifanyika leo lazima ashinde pamoja na udhaifu wake wote, vile vile jeshi la polisi lipo kwa ajili yake na sio kwa ajili ya wananchi, yule ambae atahoji na kupinga chochote jeshi la polisi litamshughulikia.
Rais anatenda haya akijua kuwa mwaka 2020 hakuna uchaguzi bali kutakuwa kuidhinishwa, ndio maana hajali vilio vya wananchi baadala yake anawakejeli na kuwatisha.
Haya yote yanafanyika kwa sababu hatuna tume huru ya uchaguzi, kama hii ingelikuwa na tume huru na huru kweli kweli rais Magufuli asingelikuwa na kiburi hivi, angeonesha kuwajali wananchi na kusikiliza kile wanachokihitaji.
Rais amekuwa na kiburi kwa sababu anajua fika kuwa tume ya uchaguzi ipo chini yake, hata uchaguzi ukifanyika leo lazima ashinde pamoja na udhaifu wake wote, vile vile jeshi la polisi lipo kwa ajili yake na sio kwa ajili ya wananchi, yule ambae atahoji na kupinga chochote jeshi la polisi litamshughulikia.
Rais anatenda haya akijua kuwa mwaka 2020 hakuna uchaguzi bali kutakuwa kuidhinishwa, ndio maana hajali vilio vya wananchi baadala yake anawakejeli na kuwatisha.