Ccm and the gangs of crooksDeodatus Mwanyika hana sifa kabisa ya kuteuliwa kuwania ubunge. Kosa la ukwepaji kodi kwake lipo wazi na ametiwa hatiana mwaka 2020.
Nani alimpitisha huko CCM?
Ccm and the gangs of crooksDeodatus Mwanyika hana sifa kabisa ya kuteuliwa kuwania ubunge. Kosa la ukwepaji kodi kwake lipo wazi na ametiwa hatiana mwaka 2020.
Nani alimpitisha huko CCM?
Hiyo ya mwisho hapo chini ni uongo na upumbavu wa hali ya juu. Katiba ya JMT haisemi hivyo hata kidogo.Tuweke rekodi sawa, Deo Mwanyika alihukumiwa kwa kukwepa kodi.
Michango ya NSSF ya Deogratius Mwanyika, aliyekuwa Rais wa migodi ya Pangea, North Mara Exploration na Bulyanhulu, imelazimika kulipa sehemu ya fidia ya makubaliano maalum kwa Serikali baada ya kukiri kufanya makosa.
View attachment 1554081
Fedha kiasi cha TSh bilioni 1, kilichotwa na kuingizwa kwenye akaunti ya maalum ya fedha za serikali inayosimamiwa na Hazina iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT) mnamo Mei 11, 2020.
Makubaliano ya faini yaleta utata hadi Ikulu kuhusishwa
Juni 17, 2020 Mwanyika aliachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, pamoja na wenzake wawili, baada ya Serikali kueleza kwamba Mwanyika amekubali kulipa fidia ya TSh bilioni 1.5. Mwanyika na wenzake wawili, Assa Mwaipopo.
KATIBA INASEMA IVI
67.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo-👇🏽
(a) ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka ishirini na moja, na ambaye anajua kusoma na kuandika katika Kiswahili au Kiingereza;
(b) ni mwanachama na ni mgombea aliyependekezwa na chama cha siasa;
(c) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya Uchaguzi hakuwahi kutiwa hatiani katika mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali.
Kawekewa pingamizi ila tume si unajua tenaKwanini vyama vya upinzani vinajua hayo vinashindwa kuweka pingamizi na kulalamika mtandaoni
Sharia zipo kwa ajili ya upinzani kaka,hazimhusu kila mtu, elewa hiloHivi inakuwaje?Mtu anatajwa Kwenye orodha ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya ..anaitwa polisi anakaa siku kadhaa akihojiwa...anaachiliwa.
Anakuja kupewa nafasi ya kugombea ubunge na serikali hiyo hiyo iliyo wahi kum arrest Kwa madawa??..umakini uko wapi?
Kama alisingiziwa je wale wengine hawakusingiziwa?
Na why serikali iwasingizie watu?
Kama hakusingiziwa why mumlete agombee ubunge?..mnaeleza wananchi kitu gani???
Hatari sana nchi hiiHivi inakuwaje?Mtu anatajwa Kwenye orodha ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya ..anaitwa polisi anakaa siku kadhaa akihojiwa...anaachiliwa.
Anakuja kupewa nafasi ya kugombea ubunge na serikali hiyo hiyo iliyo wahi kum arrest Kwa madawa??..umakini uko wapi?
Kama alisingiziwa je wale wengine hawakusingiziwa?
Na why serikali iwasingizie watu?
Kama hakusingiziwa why mumlete agombee ubunge?..mnaeleza wananchi kitu gani???