Mabibi na mabwana heshima kwenu
Kumekuwapo na malalamiko ya uvunjifu wa kanuni na sheria za maadili ya uchaguzi yanayofanywa na mgombea wa CCM yaliyowasilishwa kwenu rasmi.
Mgombea wa tume ameendelea kutofuata ratiba za kampeni, Majaliwa naye anaendelea akitumia raslimali za Serikali, kuita wagombea wengine majina na kuwa ni vibaraka kunaendelea nk.
Malalamiko haya tume imeamua kuyadharau?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa inaupendeleo wa wazi?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa haiaminiki?
Tume ipalilieni vurugu kwa kujifanya viziwi.
Kumekuwapo na malalamiko ya uvunjifu wa kanuni na sheria za maadili ya uchaguzi yanayofanywa na mgombea wa CCM yaliyowasilishwa kwenu rasmi.
Mgombea wa tume ameendelea kutofuata ratiba za kampeni, Majaliwa naye anaendelea akitumia raslimali za Serikali, kuita wagombea wengine majina na kuwa ni vibaraka kunaendelea nk.
Malalamiko haya tume imeamua kuyadharau?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa inaupendeleo wa wazi?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa haiaminiki?
Tume ipalilieni vurugu kwa kujifanya viziwi.