Ntozi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 226
- 299
Kila kona waelewa wote wanataka iwepo tume huru ya uchaguzi, yamesemwa hata na wana CCM wakongwe na wenye heshima zao ndani ya nchi.
Kuna wakati hata Rais wetu alikemea mambo fulani yaliyofanywa na tume, kuwa yasijirudie katika chaguzi zijazo Kwa kuwa hayana mashiko.
Sasa hivi kuna kikosi kazi kimeundwa ambacho pamoja na mambo mengilak lakini kupataTume huru ya uchaguzi ni agenda kuu kabisa.
Hii maana yake ni kwamba tume iliyopo si huru, si ya haki na pamoja na kuwepo pale Kwa mujibu wa Shlakin lakini kazi zake na Hasa za uchaguzi wa 2Kwa.
Kwa kweli ni ubatili mtupu. Katika hali ya kawaida, na kwa kusoma upepo unavilikuwa ilikuwa ni heshima kujiondoa katika ujumbe wa tume ili kuonesha mshikamano katika hili jambo la kitaifa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kuna wakati hata Rais wetu alikemea mambo fulani yaliyofanywa na tume, kuwa yasijirudie katika chaguzi zijazo Kwa kuwa hayana mashiko.
Sasa hivi kuna kikosi kazi kimeundwa ambacho pamoja na mambo mengilak lakini kupataTume huru ya uchaguzi ni agenda kuu kabisa.
Hii maana yake ni kwamba tume iliyopo si huru, si ya haki na pamoja na kuwepo pale Kwa mujibu wa Shlakin lakini kazi zake na Hasa za uchaguzi wa 2Kwa.
Kwa kweli ni ubatili mtupu. Katika hali ya kawaida, na kwa kusoma upepo unavilikuwa ilikuwa ni heshima kujiondoa katika ujumbe wa tume ili kuonesha mshikamano katika hili jambo la kitaifa.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app