Wasalaam,
Nmetafakari sana juu ya mambo kadhaa ya chaguzi zetu hasa hili la Viti maalumu vya CHADEMA na kuona iko haja ya NEC kutolea ufafanuzi juu ya mambo yafuatayo;
Vinginevyo naona kama kuhusishwa kwa NEC na hili swala kutaaminisha wananchi zaidi kua sio tume huru.
01. Kauli za Mahere kama ilivyorushwa na azam tv kua mpaka ile tarehe 20.11.2020 NEC haikupokea majina toka CHADEMA na hii nyingine ya kusema NEC ilipokea majina tarehe
19.11.2020. NEC angalieni hizi tarehe na kuzitolea ufafanuzi nafkiri italeta imani zaidi( Mkizingatia pia kua Ndugai alidai kupokea list toka NEC tarehe 20.11.2020 siku ambayo Mahera alisema mpaka siku hiyo hawakupokea list toka CHADEMA)
02. Tukiassume kua ni kweli List ilipelekwa NEC na KM CHADEMA, je kwa nini NEC ilipitisha jina la mtu aliekua gerezani bila hata kuhoji alijazaje form zake na ataapishwa vipi ikiwa shauri lake bado halijaisha mahakamani?
03. Kwa kua uongozi wa juu wa CHADEMA mpaka sasa umekana kupeleka majina NEC, ni wakati sasa wa NEC kumtaja aliepeleka barua ya CHADEMA yenye hayo majina, ikibidi ioneshe mpaka sehemu mtu huyo aliposaini mara baada ya kufika ofisi za NEC maana ninaamini kuna kitabu cha wageni ambapo lazima kisainiwe.
NEC ikishaweka hayo mambo 3 bayana, then tutagundua exactly where the wheel went off. La sivyo wananchi wataendelea kuamini kua tume iko one sided.
Tukimaliza hili swala la Tume tutauliza taratibu za kimahakama juu ya sakata la Nusrat, ili tuunganishe maelezo yote toka NEC na Magereza ndipo tutakapojua mchawi ni nani.
Ahsanteni,
Mwananchi asiye na Chama.
Nmetafakari sana juu ya mambo kadhaa ya chaguzi zetu hasa hili la Viti maalumu vya CHADEMA na kuona iko haja ya NEC kutolea ufafanuzi juu ya mambo yafuatayo;
Vinginevyo naona kama kuhusishwa kwa NEC na hili swala kutaaminisha wananchi zaidi kua sio tume huru.
01. Kauli za Mahere kama ilivyorushwa na azam tv kua mpaka ile tarehe 20.11.2020 NEC haikupokea majina toka CHADEMA na hii nyingine ya kusema NEC ilipokea majina tarehe
19.11.2020. NEC angalieni hizi tarehe na kuzitolea ufafanuzi nafkiri italeta imani zaidi( Mkizingatia pia kua Ndugai alidai kupokea list toka NEC tarehe 20.11.2020 siku ambayo Mahera alisema mpaka siku hiyo hawakupokea list toka CHADEMA)
02. Tukiassume kua ni kweli List ilipelekwa NEC na KM CHADEMA, je kwa nini NEC ilipitisha jina la mtu aliekua gerezani bila hata kuhoji alijazaje form zake na ataapishwa vipi ikiwa shauri lake bado halijaisha mahakamani?
03. Kwa kua uongozi wa juu wa CHADEMA mpaka sasa umekana kupeleka majina NEC, ni wakati sasa wa NEC kumtaja aliepeleka barua ya CHADEMA yenye hayo majina, ikibidi ioneshe mpaka sehemu mtu huyo aliposaini mara baada ya kufika ofisi za NEC maana ninaamini kuna kitabu cha wageni ambapo lazima kisainiwe.
NEC ikishaweka hayo mambo 3 bayana, then tutagundua exactly where the wheel went off. La sivyo wananchi wataendelea kuamini kua tume iko one sided.
Tukimaliza hili swala la Tume tutauliza taratibu za kimahakama juu ya sakata la Nusrat, ili tuunganishe maelezo yote toka NEC na Magereza ndipo tutakapojua mchawi ni nani.
Ahsanteni,
Mwananchi asiye na Chama.