Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi yawataja wabunge 18 waliopita bila kupingwa. Wamo Nape, Kigwangala, January, Kabudi, Mnyeti...

Dah hii ni hatar sana,inamaana wagombea wa ccm wajua zaid kujaza fomu ya uchaguzi kuliko vyama vingine? Hii hujuma hata mpumbavu anajua tu kuwa kunamchezo umechezwa
Wew sio kila kitu ni form wengine wameamua kuuza jimbo kwa kufanya vituko ili waonekane kuan shida mwingine kuchukua form warudishe wakati ofisi imefungwa
 
yaani waliopita ni MACCM tu.hakuna mpinzani aliyepita bila kupingea ,kweli shetani humsaidia shetani mwenzie ,NEC ni CCM pure
 
Kweli mkuu
Yaani Magufuli katengenezea njia watu wa kumsaidia kwenye kampeni

January, Nape na kabudi mwaka huu watalala na viatu.

Lissu atawatesa Sana na kesho tunaanza maandamano kwenye Majimbo yenu hakuna Cha kupita bila kupingwa.

Mngeanza na Jiwe aliyeshindwa kujaza form ningewaelewa

Uhuni sasa basi.....
IMG-20200828-WA0033.jpg
 
Yaani Magufuli katengenezea njia watu wa kumsaidia kwenye kampeni

January, Nape na kabudi mwaka huu watalala na viatu.

Lissu atawatesa Sana na kesho tunaanza maandamano kwenye Majimbo yenu hakuna Cha kupita bila kupingwa.

Mngeanza na Jiwe aliyeshindwa kujaza form ningewaelewa

Uhuni sasa basi.....
Leta picha tu za hayo maandamano
 
1. Ushetu - Elias Kwandikwa
2. Kongwa - Job Ndugai
3. Gairo - Ahmed Shabiby
4. Kilosa - Palamagamba Kabudi
5. Mvomero - Jonas Van Zeeland
6. Morogoro Kusini - Kalogereris Innocent
7. Morogoro Mashariki - Taletale Hamis Shabani
8. Mlele - Eng. Isaack Kamwelwe
9. Kavuu - Geofrey Pinda
10. Songwe - Philipo Mulugo
11. Bukene - Zedi Jumanne
12. Nzega Vijijini - Hamis Kigwangalla
13. Ruangwa - Kassim Majaliwa
14. Mtama - Nape Nnauye
15. Namtumbo - Vita Kawawa

View attachment 1551183
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk.Wilson Mahera (katikati) akizunghumza na waandishi wa Habari katika ofisi za Tume Njendengwa Jijini Dodoma leo ambapo ametangaza majimbo 18 ya uchaguzi ambayo wagombea wake wamepita bila kupingwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Givness Aswile na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Elimu ya Mpigakura, Dk. Cosmas Mwaisobwa.

======

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUTEULIWA WAGOMBEA PEKEE WA UBUNGE KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020 #uchaguzimkuu2020
View attachment 1551101View attachment 1551102
Chama cha Demokrasia Bandia
 
Tume hii sio guru na imejidhihirisha ilivyojibu pingamizi la lissu dhidi ya rais magufuli na prof lipumba, ule uamuzi sio wa kisheria.
Pili,kutosikiliza rufaa za wabunge wa upinzani kwa weledi,
Hapa wanazidisha fitina tu kwa wapinzani wakihisi Cdm,act watajitoa ndiyo wanachohisi
 
Lowassa pamoja na uzito wake wa kushindwa kujieleza jukwaani aliweza kupata kura nyingi kumzidi Magufuli.

Baada ya tume kupindua matokeo ndipo jamaa yenu akatangazwa mshindi,mwaka huu mnalo.
Nini kinazuia kupindua matokeo mwaka huu??
 
Sheria za Uchaguzi zinasema, baada ya uchaguzi mtu mwenye rufaa dhidi ya uteuzi au ambaye hajaridhika na mwenendo wa uchaguzi au ambaye hajaridhika na matokeo ya uchaguzi, atatakiwa kufungua kesi mahamakamani kupinga uchaguzi huo. Huu ndio muda wa kufanya hivyo katika hayo majimbo kwa maana tayari uchaguzi umefanyika.

Muda huu ni mzuri maana hata wanasheria wa serikali na TUME watashindwa kujigawa kwa kuwa kwenye uchaguzi wa majimbo mengine kupika matokeo na kuhudhuria mahakamani kuendesha kesi hizi zilizofunguliwa tayari.

Na kwa kuwa mahakama nayo kwa sasa ni kama imekuwa ya 'serikali' ni vyema kufanya muda huu ili kutoa picha ya kesi za uchaguzi wa tarehe 28 Oktoba 2020 zitakuwaje, kesi hizi za sasa zitasaidia kujua kama mahakama itakuwa impartial au la.

Jibu la impartiality ya mahakama litapelekea jibu la jambo lingine ambalo ndio pekee la kuleta mabadiliko hapa nchini, tunalosubiri kutoka mdomoni mwa viongozi wa vyama vya upinzani
 
Yule dogo wa CDM Bukene imekuwaje Zedi kapita bila kupingwa?
 
Je waliokatwa wanafursa ya kwenda kusimamisha uchaguzi katika majimbo yao hadi kesi ya msingi itakaposikilizwa ?.

Je Mahakama ina uwezo wa kuwarejesha wagombea wote waliokatwa ?.

Je Tume ya uchaguzi kwa mwenendo huu bado yaweza kusimamia uchaguzi huru na haki ?!.
 
Back
Top Bottom