Wew sio kila kitu ni form wengine wameamua kuuza jimbo kwa kufanya vituko ili waonekane kuan shida mwingine kuchukua form warudishe wakati ofisi imefungwaDah hii ni hatar sana,inamaana wagombea wa ccm wajua zaid kujaza fomu ya uchaguzi kuliko vyama vingine? Hii hujuma hata mpumbavu anajua tu kuwa kunamchezo umechezwa