sansaba
Senior Member
- Mar 8, 2018
- 103
- 268
Kama vyama vya upinzani kesho havitatoa tamko nitawaona hamna kitu. Hii tume ya kiboya kweli siku watu wakichoka wataenda barabarani wao..
.
Semeni kitu basi kesho. nimeandaa begi na mikate ya kutosha na maji ya kutosha tutalala barabarani. Kuna watu hii nchi kama yao vile
.
Semeni kitu basi kesho. nimeandaa begi na mikate ya kutosha na maji ya kutosha tutalala barabarani. Kuna watu hii nchi kama yao vile