karifonyia π π π π π πSawa tunasubiri Tanzania kuwa kama Ulaya
karifonyia π π π π π πSawa tunasubiri Tanzania kuwa kama Ulaya
Yote ni mikakati ya ccm, nami awe mbunge nani asiwe, bila ya kujali ni chama gani.Mwenzao Aida Khenan ameshinda ubunge kwenye wakati mgumu sana, si Mbowe wala Lisu aliyeenda kumuombea kura huko Nkasi , acha ale maisha tena bila makato ya kuchangia chama.
Ni aibu kubwa sana kwa Mbowe, Msigwa, Lema, Mdee, Sugu kuzidiwa mbinu za medani katika kulinda kura na mtoto mdogo tena mwanamke Aida !
kwani kutabu yoyote...?Hv wewe ni Mtanzania au Mburundi?
Nafikiri mungu unayemtaja hapa ni Magufuli.Mkono wa Mungu utafanya kazi yake. Aje abadili na katiba kabisa atawale hadi mwisho wa dunia!!
Kwakuwa uliyemtaka hakuwa.Kabisa.. utashangaa watu wanajifanya hakuna kilicho tokea
Mtoto wa nyani aliona vichaka vinaungua akawa anaruka na kushangilia ilipofika jioni ndio akajua hana pa kulala.
waooooooooooowwwwwwwwwwww
Hongera sana Rais wetu.
Hiv anaondoka lini kurudi Ubelgiji?Jipeleleze Mkuu vizuri,
Ukiona umefika mahali unaona njia pekee ya kupata unachotaka ni kudhurumu Uhuru wa binadamu mwenzio wa kuweza kutimiza mahitaji yake ya msingi, ambaye hata ukipata unachokitaka hutokaa hata siku moja umpelekee chochote ili aweze kujikimu..
Jua unapitia mabadiliko makubwa ya kutoka ktk hali ya ubinadamu... You are no more human being..!
Ajabu sana walikuwa wakimuita Rais Rais Rais kila alipopita.lile nyomi la Lissu wote hawajajiandikisha.
Naskia askar akisema mnatuharibia nchi..hii clip imeniuma sanaSi wangemtangaza tu kabla hata ya kampeni, kuliko kuekti sinema ya matrillioni kwa kodi zetu, tungeokoa hayo matrillioni yakasaidia kutubambikizia kesi zisizo na dhamana wananchi na kununua virungu vilivyo vunjika baada ya kutupiga navyo.
Natamani Mw. Nyerere afufuke kwa siku moja, aje ajionee.
#LINK# Askari polisi wakamata shehena za mabegi yenye kura zilizopigwa nje ya kituo, zilikua zinaingizwa kwa njia ya panya ndani ya vituo vya kupigia kura. Washangaa na kukiri kuna defender la polisi limejaa shehena ya mabegi ya kura zilizokamatwa kama vielelezo.
Zitto Tundu Lissu
Kumbuka hiyo mil 60 wamo watoto wachanga, mataahira, wazee wasojiweza nkNi Rais wetu mimi na Watanzania milioni 12,516,252 waliomchagua kwa niaba ya Watanzania wengine mil 60.
Kama yupiYaani hata ccm wenyewe Wamepigwa butwaa.
Kadri siku zinavyozidi uchaguzi mkuu TZ utakua kama mahafali ya fm4..miaka ya nyuma yalikua ni dili sana ila miaka ya sasa hayana hamasa tena....ipo siku wataopiga kura hawatafika hata 12%These days people do not care anymore. Watu wapo busy mtaani na maisha yanaendelea as if nothing ever happened.
Watu wameanza kuzoea sasa kuishi bila internet. Maisha ya TZ yanakwenda kasi sana. Hata hao washindi wa CCM nao wapo busy kutweet kwa kutumia VPN. Namba tutaisoma sote!