Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nikiwa mji mdogo wa Usa-River hapa mkoani Arusha,nimeshuhudia Bango moja kubwa kabisa likiwa na nembo ya chama kimoja kikubwa kabisa cha siasa na picha ya mgombea wa chama hicho ila kilichonishangaza katika bango hilo ni jina la mgombea wa chama hicho lililoandikwa katika bango hilo la campaign linalosomeka "Makufuli" wakati hakuna mgombea anaetambulika kwa jina hilo labda kama Tume wana mtu wa aina hiyo tofauti na hawa tunao wajua
Ujumbe katika bango hilo unasomeka: "CHAGUA MAKUFULI-2015", ujumbe huu ukiwa ndio ujumbe uliopewa uzito mkubwa kabisa sambamba na yale maneno yao mengine yakiandikwa kwa chini katika bango hilo.
Sitaki kabisa kuamini kama hii ni bahati mbaya au ni makosa ya kiuandisha tu bali hapa kuna sababu. Inawezekana wanaona jina hilo lina-sound better kuliko jina halisi la mgombea wao kwa wapiga kura.
Tuseme ni Sawa tu, lakini je ni sahihi kisheria kufanya hivi?
Hivi sheria zetu za uchaguzi ndio ziko loose kiasi hiki?
Je,mabango haya ya campaign hayasimamiwa na sheria za uchaguzi?
Kama hayasimamiwi na sheria,je kila mtu akiamua kuweka bango lake ni kuweka jina alitakalo na kisha kutumia nembo ya chama chochote kile hali itakuwaje?
Hivi kweli mabango ya uchaguzi yanaweza tu kuwa printed na kisha kusambazwa mithili ya t-shirt za msiba n.k bila kuwa na udhibiti wa kisheria?
Kama karatasi za kupigia kura zinaandaliwa kwa kuzingatia sheri, inakuwaje mabango haya rasimi ya wagombea yasiwe na udhibiti
Kama sheria ziko loose kiasi hiki,mbona kwenye karatasi ya kura hakuna mgombea wa chama cha UKAWA?
Kama mikutano ya campaign inasimamiwa na sheria pamoja na kanuni za uchaguzi,iweje uholela huu kwenye haya mabango ya uchaguzi?
NEC,Makufuli katika bango hili ni mgombea wa chama gani?!
Are we serious?
Ujumbe katika bango hilo unasomeka: "CHAGUA MAKUFULI-2015", ujumbe huu ukiwa ndio ujumbe uliopewa uzito mkubwa kabisa sambamba na yale maneno yao mengine yakiandikwa kwa chini katika bango hilo.
Sitaki kabisa kuamini kama hii ni bahati mbaya au ni makosa ya kiuandisha tu bali hapa kuna sababu. Inawezekana wanaona jina hilo lina-sound better kuliko jina halisi la mgombea wao kwa wapiga kura.
Tuseme ni Sawa tu, lakini je ni sahihi kisheria kufanya hivi?
Hivi sheria zetu za uchaguzi ndio ziko loose kiasi hiki?
Je,mabango haya ya campaign hayasimamiwa na sheria za uchaguzi?
Kama hayasimamiwi na sheria,je kila mtu akiamua kuweka bango lake ni kuweka jina alitakalo na kisha kutumia nembo ya chama chochote kile hali itakuwaje?
Hivi kweli mabango ya uchaguzi yanaweza tu kuwa printed na kisha kusambazwa mithili ya t-shirt za msiba n.k bila kuwa na udhibiti wa kisheria?
Kama karatasi za kupigia kura zinaandaliwa kwa kuzingatia sheri, inakuwaje mabango haya rasimi ya wagombea yasiwe na udhibiti
Kama sheria ziko loose kiasi hiki,mbona kwenye karatasi ya kura hakuna mgombea wa chama cha UKAWA?
Kama mikutano ya campaign inasimamiwa na sheria pamoja na kanuni za uchaguzi,iweje uholela huu kwenye haya mabango ya uchaguzi?
NEC,Makufuli katika bango hili ni mgombea wa chama gani?!
Are we serious?