Kama tungekuwa na Tume Huru ya uchaguzi, tungepata viongozi bora..
badala yake Tuna watawala wanapatikana kwa njia ya Rushwa na kuchakachua kura.
Kama kiongozi anajua kuwa hana haja na kura za wananchi, anajua kuwa atapata uongozi kwa rushwa ama kwa kuchakachua tutegemee nini??
Je wakati tume ya kukusanya maoni inaendelea na kazi, je kwa nini Tume ya Uchaguzi isivunjweeeee....
KWanini hii Tume ya uchaguzi iliyokosa uhalali, iliyolalamikiwa katika uchaguzi wa 2010 bado inaendelea?
Nini kiini cha kudai katiba mpya......
je kama katiba mpya isipokuwa tayari kabla ya uchaguzi wa 2015, je tutafanyaje???
badala yake Tuna watawala wanapatikana kwa njia ya Rushwa na kuchakachua kura.
Kama kiongozi anajua kuwa hana haja na kura za wananchi, anajua kuwa atapata uongozi kwa rushwa ama kwa kuchakachua tutegemee nini??
Je wakati tume ya kukusanya maoni inaendelea na kazi, je kwa nini Tume ya Uchaguzi isivunjweeeee....
KWanini hii Tume ya uchaguzi iliyokosa uhalali, iliyolalamikiwa katika uchaguzi wa 2010 bado inaendelea?
Nini kiini cha kudai katiba mpya......
je kama katiba mpya isipokuwa tayari kabla ya uchaguzi wa 2015, je tutafanyaje???