Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema muda si mrefu serikali itatoa taarifa kuhusu tume iliyoundwa kwa ajili ya kufanyia mapitio mishahara ya watumishi wa umma kwa nia ya kuondoa tofauti mbalimbali inayowanyima fursa wafanyakaxi ya kulipwa kutokana na madaraja yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app