Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,090
Nimeona video, video ya naibu spika akifanya kitendo cha hovyo kabisa. Kitendo cha aibu.
Naibu Spika amekaa na watu walioweka bendera ya Chadema kwenye Jeneza huku wakiimba mapambio ya kifo.
Hiki ni kitendo cha aibu, siyo cha uungwana na kwa kweli hakistahili kufanywa na mtu yeyote achilia mbali Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Najiuliza tume ya maadili ya viongozi wa umma iko wapi kukemea vitendo vya aibu kama hivi.
huko nyuma tume ya maadili imewahi kutoa karipio kwa viongozi waliofanya mambo kinyume cha maadili, sasa leo hii ukimya huu wa nini?
Kwa kitendo hiki alichokifanya Naibu Spika, siyo tu kwamba amejiaibisha yeye mwenyewe bali ameliaibisha hata bunge maana sijaona mahali popote ofisi ya bunge ikimkemea kwa matendo yake ya aibu.
hebu just imagine video ile isambae duniani halafu watu waone kuwa Naibu Spika wa bunge la Tanzania anabehave vile si tutaonekana Watanzania tuna mambo ya kishenzi?
Naibu Spika Tulia achukuliwe hatua za kinidhamu kupitia tume ya maadili ya viongozi wa umma!
Video ya aibu hii hapa chini:
Naibu Spika amekaa na watu walioweka bendera ya Chadema kwenye Jeneza huku wakiimba mapambio ya kifo.
Hiki ni kitendo cha aibu, siyo cha uungwana na kwa kweli hakistahili kufanywa na mtu yeyote achilia mbali Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Najiuliza tume ya maadili ya viongozi wa umma iko wapi kukemea vitendo vya aibu kama hivi.
huko nyuma tume ya maadili imewahi kutoa karipio kwa viongozi waliofanya mambo kinyume cha maadili, sasa leo hii ukimya huu wa nini?
Kwa kitendo hiki alichokifanya Naibu Spika, siyo tu kwamba amejiaibisha yeye mwenyewe bali ameliaibisha hata bunge maana sijaona mahali popote ofisi ya bunge ikimkemea kwa matendo yake ya aibu.
hebu just imagine video ile isambae duniani halafu watu waone kuwa Naibu Spika wa bunge la Tanzania anabehave vile si tutaonekana Watanzania tuna mambo ya kishenzi?
Naibu Spika Tulia achukuliwe hatua za kinidhamu kupitia tume ya maadili ya viongozi wa umma!
Video ya aibu hii hapa chini: