HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
Kutokana na ratiba ya tume ya kukusanya maoni ya katiba ,leo ijumaa tume ipo jiji la arusha pale katika viwanja vya ngarenaro sekondari ,wananchi wa arusha fikeni mtoe maoni yenu juu ya katiba mpya .ukisoma hapa mkumbushe na mwenzako