kama wa kristo wangekuwa 23 kama walivyo waislam kwenye tume ,kwa vyovyote vile upande wa pili ungeanza kuibua malalamiko .lakini hata hivyo jakaya kikwete kama amunda tume hiyo kwa kuwa komoa wakristo , kwa tafisri nyingine amewakaanga waislamu wenzake,maana tutawapima uwezo wao ,nia yao kwa taifa hili katika majukumu waliyopewa .hata hivyo tunajua kwamba Jakaya kikwete anatekeleza mpango wa maazimio ya abuja wa muda mrefu ulioandaliwa nchini nigeria na waislamu dhidi ya wakristo.
Kwa hiyo hoja ya edwini mtei nimuhimu kwa jamii ya kitanzania kutoipuuza ,wahenga wansema hakuna upuuzi ulio upuuzi mtupu.Jakaya kikwete ni mdini sana anafanya kwa siri sana ,mfuatilieni sana katika nyendo zake .
Kwa hiyo hoja ya edwini mtei nimuhimu kwa jamii ya kitanzania kutoipuuza ,wahenga wansema hakuna upuuzi ulio upuuzi mtupu.Jakaya kikwete ni mdini sana anafanya kwa siri sana ,mfuatilieni sana katika nyendo zake .