Dhuks
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 1,629
- 695
Hii haina uhusiano na katiba mpya ya Kenya.
Ni sheria ya Commonwealth. Jaji yeyote hawezi kuondokewa madarakani akifanya makosa mpaka panel ya majaji watatu kutoka nchi za Commonwealth waamue.
Hata Tanzania jaji akivunja sheria itabidi raisi aunde panel ya majaji kutoka nchi za Comminwealth kumhukumu.
Kenya haijajiunga na commonwealth jana na hayo hayakuwa yanatendeka; new constitution rocks.