Tume ya Jaji Augustino Ramadhani yaamua naibu Jaji Mkuu avuliwe madaraka!!!

Hii haina uhusiano na katiba mpya ya Kenya.

Ni sheria ya Commonwealth. Jaji yeyote hawezi kuondokewa madarakani akifanya makosa mpaka panel ya majaji watatu kutoka nchi za Commonwealth waamue.

Hata Tanzania jaji akivunja sheria itabidi raisi aunde panel ya majaji kutoka nchi za Comminwealth kumhukumu.

Kenya haijajiunga na commonwealth jana na hayo hayakuwa yanatendeka; new constitution rocks.
 

KATIBA MPYA YA KENYA INARUHUSU TRANSPARENCY - NA UCHUNGUZI HURU; SISI NA HII SERIKALI YA CCM

YA KUSAMEHEANA LEO NI FISADI KESHO RAIS anakusafisha na Majudge; Polisi; Takuhuru na Usalama wa Taifa

Wananyamaza... Sidhani chochote kitafanyika Mpaka labda Mataifa ya Nje yaanze kuitishia CCM; na sidhani

Angalia kuna URANIUM, IRON, GAS, inatosha kusahau wizi wa VIONGOZI wa nchi... Mfano Mzuri ni wakati wa MOBUTU

Mnakumbuka kesi ya Jaji mwakibete?Tafuteni kumbukumbu ili muweze kujua kesi za majaji zinaendeshwa vipi.Rais anaweza kuteua jaji yoyote kutoka jumuia ya madola kufanya uchunguzi.Tanzania ilishatokea kwa jaji mwakibete enzi za Utawala wa Mwinyi
 
Mnakumbuka kesi ya Jaji mwakibete?Tafuteni kumbukumbu ili muweze kujua kesi za majaji zinaendeshwa vipi.Rais anaweza kuteua jaji yoyote kutoka jumuia ya madola kufanya uchunguzi.Tanzania ilishatokea kwa jaji mwakibete enzi za Utawala wa Mwinyi

JUZI kuna Hukumu Imetolewa UNIVERSITY YA MOI Imeshindwa Kesi, Moi Ameambiwa alichukua kinguvu heka 100 za ardhi

Miaka 20 iliyopita wakati akiwa Rais na kujenga Lecture Rooms, Nyumba za Waalimu wa University na Pia kutaifisha

High School ya Serikali na kuwa yake... Lakini Vitu Vipya Vimetokea...

1. Katiba Mpya Haijali Cheo... HAYA SAWA

2. Ardhi ya Huyo Mzungu alipewa na Nani? ana Miliki zaidi ya Heka 2,000 Moi alichukua heka 100 kwa kusomesha watoto

3. Nani atazuia Ubabe wa Miaka ya 60' 70' ya Viongozi wa KANU walikuwa wanabeba Ardhi bila kuulizwa?

4. Vipi kuhusu kuhusu Land re-distribution? White people have more than 40% of arable land in Kenya; GOD BLESS

JK NYERERE
 
sasa huyu AGUSTINE Ramadhan mbona ya TZ YANAMSHINDA?

Kweli kaka! Hii story ya huyu DCJ wa Kenya alivyomfanyia huyo Mlinzi ina context inayofafana na ya former Tanzanian Minister of Minerals Hon. William Ngeleja na yule mlinzi wa ATM ya STANDARD CHARTERED BANK
*
Kipindi kile yule mlinzi wa ATM ya Standard Chartered alivyopishana lugha na Mh. Ngeleja si huyuhuyu Jaji Augustino Ramadhani alikuwa CJ wa Tanzania!!!! Mbona hakufanya chochote pale Ngeleja alivyoonyesha lugha ya dharau kwa yule mlinzi? Mbaya zaidi yule mlinzi aliishia kupoteza kazi baadae!

Augustino Ramadhani ameweza kutoa hukumu ya haki kwa mtu wa nchi nyingine lakini haki hiyihiyo ameshindwa kusimamia haki za watu wake huku Tanzania.
 
Back
Top Bottom