Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
Siichukii hii tume ya ajira inayosimamia kuwaajiri wafanyakazi wa serikali kuu na taasisi zake.
Ila kinachonipa hofu na mashaka ni hili sharti la kwamba nakala za vyeti utakavyoambatanisha na barua yako ya maombi ni lazima vithibitishwe na wakili au hakimu, yaani ufanya kama vile unavyofanya katika kujaza fomu za kuomba mkopo bodi ya mikopo vyuo vikuu (i.e. certified copies of academic certificates).
Kwa jinsi navyojua mie waombaji wengi wa kazi kipato chao si kikubwa sana. Na hawa jamaa zetu mawakili na mahakimu ukiwapelekea ku-certify document, wanakuhitaji ulipe pesa kati ya sh 1000/= hadi sh 10000/= kwa kila ukarasa atakouweka muhuri wake, bei inategemea umekwenda kwa wakili au hakimu wa aina gani. Mfano mwaka 2007 pale chuo kikuu dsm kulikuwa na wakili alikuwa akitoza sh 2500/= kwa ukurasa katika zile fomu za mkopo. Sifahamu kwa mwaka huu ghalama zikoje.
Naiomba tume hii iliangalie upya sharti hili, vinginevyo watanzaniawengi wenye sifa watashindwa kuomba kwa kukosa pesa za ku-certify vyeti au watatuma maombi bila ku-certify vyeti na kupelekea maombi yao kutumpwa kapuni kwa kuwa hayakutimiza sharti. Nashauri libakie sharti la kuwataka watakaoitwa katika usali waende na vyeiti vyao halisi.
Sasa kwa mfano mtu una vyeti kama kumi vya ku-certify, je maisha yatakuwaje???????????!!!!!!!!!!!!!!!, ugonjwa huu wa UPEMI (Ukosefu wa Pesa Mifukoni) Tafadhari tume ya ajira fikilieni upya sharti hili.
Ila kinachonipa hofu na mashaka ni hili sharti la kwamba nakala za vyeti utakavyoambatanisha na barua yako ya maombi ni lazima vithibitishwe na wakili au hakimu, yaani ufanya kama vile unavyofanya katika kujaza fomu za kuomba mkopo bodi ya mikopo vyuo vikuu (i.e. certified copies of academic certificates).
Kwa jinsi navyojua mie waombaji wengi wa kazi kipato chao si kikubwa sana. Na hawa jamaa zetu mawakili na mahakimu ukiwapelekea ku-certify document, wanakuhitaji ulipe pesa kati ya sh 1000/= hadi sh 10000/= kwa kila ukarasa atakouweka muhuri wake, bei inategemea umekwenda kwa wakili au hakimu wa aina gani. Mfano mwaka 2007 pale chuo kikuu dsm kulikuwa na wakili alikuwa akitoza sh 2500/= kwa ukurasa katika zile fomu za mkopo. Sifahamu kwa mwaka huu ghalama zikoje.
Naiomba tume hii iliangalie upya sharti hili, vinginevyo watanzaniawengi wenye sifa watashindwa kuomba kwa kukosa pesa za ku-certify vyeti au watatuma maombi bila ku-certify vyeti na kupelekea maombi yao kutumpwa kapuni kwa kuwa hayakutimiza sharti. Nashauri libakie sharti la kuwataka watakaoitwa katika usali waende na vyeiti vyao halisi.
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIATAPPLICATION GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter; short of which will make the application invalid.
v. The title of the position and institution applied for should be marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
vi.Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.
vii. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
viii. Transcripts, Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted.
ix. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
x. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
xi. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November 2010.
xii. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xiii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts.
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU)
xv. Deadline for application is.......
xvi. Application letters should be written in Swahili or English
xvii. APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:
Secretary
Public Service Recruitment
P. O. Box 63100,
DAR ES SALAAM
Sasa kwa mfano mtu una vyeti kama kumi vya ku-certify, je maisha yatakuwaje???????????!!!!!!!!!!!!!!!, ugonjwa huu wa UPEMI (Ukosefu wa Pesa Mifukoni) Tafadhari tume ya ajira fikilieni upya sharti hili.