Tume ya ajira na sharti la kuthibitisha vyeti kwa mawakili na mahakimu

Baba Mtu

JF-Expert Member
Aug 28, 2008
870
168
Siichukii hii tume ya ajira inayosimamia kuwaajiri wafanyakazi wa serikali kuu na taasisi zake.
Ila kinachonipa hofu na mashaka ni hili sharti la kwamba nakala za vyeti utakavyoambatanisha na barua yako ya maombi ni lazima vithibitishwe na wakili au hakimu, yaani ufanya kama vile unavyofanya katika kujaza fomu za kuomba mkopo bodi ya mikopo vyuo vikuu (i.e. certified copies of academic certificates).
Kwa jinsi navyojua mie waombaji wengi wa kazi kipato chao si kikubwa sana. Na hawa jamaa zetu mawakili na mahakimu ukiwapelekea ku-certify document, wanakuhitaji ulipe pesa kati ya sh 1000/= hadi sh 10000/= kwa kila ukarasa atakouweka muhuri wake, bei inategemea umekwenda kwa wakili au hakimu wa aina gani. Mfano mwaka 2007 pale chuo kikuu dsm kulikuwa na wakili alikuwa akitoza sh 2500/= kwa ukurasa katika zile fomu za mkopo. Sifahamu kwa mwaka huu ghalama zikoje.
Naiomba tume hii iliangalie upya sharti hili, vinginevyo watanzaniawengi wenye sifa watashindwa kuomba kwa kukosa pesa za ku-certify vyeti au watatuma maombi bila ku-certify vyeti na kupelekea maombi yao kutumpwa kapuni kwa kuwa hayakutimiza sharti. Nashauri libakie sharti la kuwataka watakaoitwa katika usali waende na vyeiti vyao halisi.




PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIATAPPLICATION GENERAL CONDITIONS

i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter; short of which will make the application invalid.
v. The title of the position and institution applied for should be marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
vi.Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.
vii. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
viii. Transcripts, Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted.
ix. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
x. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
xi. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November 2010.
xii. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xiii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts.
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU)
xv. Deadline for application is.......
xvi. Application letters should be written in Swahili or English
xvii. APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:

Secretary
Public Service Recruitment
P. O. Box 63100,
DAR ES SALAAM


Sasa kwa mfano mtu una vyeti kama kumi vya ku-certify, je maisha yatakuwaje???????????!!!!!!!!!!!!!!!, ugonjwa huu wa UPEMI (Ukosefu wa Pesa Mifukoni) Tafadhari tume ya ajira fikilieni upya sharti hili.
 
Mbona ku- certify nakala za vyeti ni kitu cha kawaida na hasa kwa dunia ya sasa iliyooza
 
Mbona ku- certify nakala za vyeti ni kitu cha kawaida na hasa kwa dunia ya sasa iliyooza

ni kawaida lkn ni usumbufu kwa anayetafuta kazi kwa mara ya kwanza:

Provided siku ya interview watu huwa wanaenda na original certificate haitakiwi tena mwombaji kuongezewa mzigo na umasikini alionao kwenda ku-certicify copies kwa Mwanasheria:

Sekretarieti ya ajira inabidi iwe ina trace kwenye data base za vyuo husika ili ku-comfirm uhalali wa mwombaji: vinginevyo watwambie kwamba wanapewa 10% na hao wanasheria wanaowatafutia ulaji.
 
hil tangazo la lin? Mbona la tarehe 25 mei lilikua la kisw na halijasema mambo ya ku certify vyet? Na mpaka sasaiv nimelisoma tena na cjaona kucertfy?
 
kucertify ni lazima wakati unatuma maombi kwa nafasi za serilkali na taasisi zake.unachoweza fanya usingoje mpaka nafasi zitoke ndo uanze kufanya hiyo michakato,ninakushauri tafuta pesa,u then certify a number of copies and keep them for future benefit and never misuse those certified copies.it will surely help u.
 
kiukweli wanahitaji kuangalia upya hicho kigezo kulingana na hali halisi ya waombaji wa ajira.kama ulivyosema ni gharama kwenye kucerity vyeti,pili ule umuhimu wa kucertify vyeti haujachukuliwa kwa lengo lile wanalotaka wapo.kusema hvo namaanisha ni kwamba mtu anaenda mahakamani kucertify vyeti ukifika tu karani anakuita na kuanza kukuweka sawa mkikubaliana anachukua zile copies wala hata hawaitaji kuona original zikwapi,hakimu anaenda tu kusaini kuwa it's true copy of original and then karani yeye anakuja kugonga mihuri tu.na adha nyingine ni kwamba watu wanaomba kazi nafasi karibu kila mara zinapotangazwa hadi labda afanikiwe kupata,kwahiyo katika hali kama hiyo atakuwa anaenda mara kwa mara kwa hakimu au wakili kumpelekea pesa ya sahihi.
 
mi nafikiri tufuate maelekezo yaliyopo kwenye tangazo husika, kama halijahitaji kusetifai basi usifanye hivyo. lakini kama wanataka kusetifai basi fanya hivyo. pia naungana na mjumbe mmoja aliyepita kuwa tangazo la tar 25 may halijaindiketi suala la kusetifai hivyo wakichukulia kigezo hicho tutaanza kuwaza vinginevyo juu ya utendaji au kilichopo nyuma ya pazia la tume hii. yangu ni hayo tu.https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/flock.gif
 
nimechoka mwili na roho.kwahiyo saivi hata transcript uki-certify wanazikubali?au wanatak original peke yake?kazi kwelikweli kwa sisi walalahoi
 
hilo mojawapo ya mashariti kwa hiyo jitahidi kuyafuata hii ndo nchi yetu bwana hata ukienda mahakamani kwenyewe hizo nakala origino hata haziangaliwi wanaangalia hela tu. Ni kama mradi vile.
 
Pale SUA sijui siku hizi...lakini miaka michache ya nyuma, watu tulikuwa tunatoa copy pale pale kwa idadi unayoitaka na kupeleka kwa mkuu wa kitivo ku-certify kwamba ni true copy of original certificate! Baada ya hapo, hakuna tena longolongo za kupeleka cjui kwa wakili cjui nani cjui!!
 
Sijaambiwa ni certify, wamenambia nitoe nakala za kopi za vyeti, achen longo longo, tatizo le2 wabongo sehem ya kujamba tunataka kuarisha, tufateni masharti ya matangazo husika na si kugeneralise basing on our old schematas.
 
Sijaambiwa ni certify, wamenambia nitoe nakala za kopi za vyeti, achen longo longo, tatizo le2 wabongo sehem ya kujamba tunataka kuarisha, tufateni masharti ya matangazo husika na si kugeneralise basing on our old schematas.

vi. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
94
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.
 
nimechoka mwili na roho.kwahiyo saivi hata transcript uki-certify wanazikubali?au wanatak original peke yake?kazi kwelikweli kwa sisi walalahoi

Hiyo transcript ndiyo haitakiwi kabisaaaaaaa! Mshikaji mmoja nilikuwa nae katika ile interview ya arusha tech alikosa kazi kwa kuwa hakuwa na vyeti halisi, alikuwa na transcript, ingawa alifauru interview zote mbili, ya kuandika na kuongea.
Soma masharti yao haswa hapo kwenye maandishi makubwa.



APPLICATION GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however, should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, e-mail address and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. The title of the position and institution applied for should be written in the subject of the application letter; short of which will make the application invalid.
v. The title of the position and institution applied for should be marked on the envelope; short of which will make the application invalid.
vi. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.
vii. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
viii. Transcripts, Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted.
ix. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action
x. Applicants for senior positions currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers.
xi. Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November 2010.
xii. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should not apply.
xiii. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts.
xiv. Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU)
xv. Dead line for application is 11th June, 2012 at 3:30 p.m
xvi. Application letters should be written in Swahili or English
xvii. APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING ADDRESS. HAND DELIVERY IS NOT ACCEPTABLE:

Secretary
Public Service Recruitment
P. O. Box 63100,
DAR ES SALAAM


 
Inamaana kama vyeti 900 na kitu vya wanajeshi na polisi ni vya kufiji walikua hawasertify
na kama walikua wanacertify mbona tunatakiwa kwenda na og copy ?
harufu ya maamuzi magumu hii
 
vi. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
94
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
- One recent passport size picture and birth certificate.

hilo ni la 28, sio 25..
 
wa2 acheni kukalili!we fuata maelekezo yaliyomo kwenye tangazo husika,ila kwa ajira za serikalini,barua lazima iandikwe kwa mkono(sio typing)na ndilo huwa hawasemi!lakini mengine yote husemwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom