The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,345
- 4,608
Serikali imeingia gharama lakini bado kuna wagombea ambao mnawapitisha bila kupingwa, si chaguo la wananchi, CCM ikionyesha ubabe kupitia kwenu na vyombo vingine vy dola
Hakuna ambacho haiwezekani bali wanakataa ili kuiba kura kwa urahisi na bila complications...Tatizo hapo ninaloliona ni lile la mtu akapige kura kituo alichojiandikishia. Sijui kama kweli tehama imetusaidia nini kwenye hii tume.
Mi nimepewa link tu ya kuangalia kama ni mpiga kura na nimefanikisha.
Sasa inashindikana nini kupiga kura kituo chochote kwani ukitaka kumuona kuwa ni mpiga kura unaona tu kama ni halali au haramu?
Issue sio tehama peke yake hapa.Tatizo hapo ninaloliona ni lile la mtu akapige kura kituo alichojiandikishia. Sijui kama kweli tehama imetusaidia nini kwenye hii tume.
Mi nimepewa link tu ya kuangalia kama ni mpiga kura na nimefanikisha.
Sasa inashindikana nini kupiga kura kituo chochote kwani ukitaka kumuona kuwa ni mpiga kura unaona tu kama ni halali au haramu?
Sasa kwa nini mnampotezea muda "mbeligiji"!!! Mkuu kura yako muhimu sana, tafadhali tukapige kura 28/10/2020, Tumchague rais asiye na vinasaba vya mabeberu!Waahidi kwanza kuziheshimu hizo kura zetu ndiyo waje watushawishi kupiga kura. Yaani tume yenyewe imejaa mikada kindakindaki ya CCM halafu kirahisi tu tushawishike kupiga kura!
Watuambie kama wako tayari kumtangaza mshindi halali halafu wataona tutakavyo miminika siku hiyo kwenye vituo vya kupigia kura. Hata sisi tuliosafiri, aisee tutarudi kwa kasi ya ajabu ili tu kupigia MABADILIKO.
Hima Watanzania baada ya Tume kutimiza waji wao sasa ni Haki yetu sisi kuitumia fursa hiyo kujitokeza kwa wingi kwaajili ya upigaji kura. Tukapige kura kuwachagua wale ambao tunadhani watasimamia Ilani na kutekel;eza yale waliyotuahidi kwa manufaa ya taifa letu na vizazi vyetu vijavyo.Mkurugenzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi upande wa huduma, Emmanuel Kawishe anaongelea mambo kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu na amezungumzia gharama nyingi zilizotumika kutimiza azma ya mtanzania kupiga kura kama makaratasi, mafuta, kulipa watu wote wanaohusuka na mchakato wa upigaji kura na kadhalika.
Kawishe amesema yote hayo ni kumuwezesha mtanzania kupiga kura hivyo japo inabaki hiari lakini ni muhimu sana kwenda vituoni kupiga kura na kuwasihi baada ya zoezi kila mtu akaendelee na ratiba zake.
Pia ndugu Kawishe amewakumbusha watu wote kuwa kipindi cha uchaguzi sheria za nchi zinaendelea kufanya kazi.
Ni kweli kabisa gharama za uchaguzi ni kubwa Sana kwa hiyo tukifanya mzaha uchaguzi ukaharibika ni upotezaji wa pesa za watanzaniaMkurugenzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi upande wa huduma, Emmanuel Kawishe anaongelea mambo kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu na amezungumzia gharama nyingi zilizotumika kutimiza azma ya Mtanzania kupiga kura kama makaratasi, mafuta, kulipa watu wote wanaohusuka na mchakato wa upigaji kura na kadhalika...
aka Yana chamaViashiria vya kutokutenda haki ndio vinavyotoa watu imani na TUME.
#MaendeleoHayanaChama
Pia ambao wanadhamana ya usimamizi was mchakato huu wahakikishe wanatenda haki vinginevyo.Yote yaliyofanyika yatapoteza maana mbali na kuwa gharama kubwa imetumika.Ni kweli kabisa gharama za uchaguzi ni kubwa Sana kwa hiyo tukifanya mzaha uchaguzi ukaharibika ni upotezaji wa pesa za watanzania
AsitufokeeMkurugenzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi upande wa huduma, Emmanuel Kawishe anaongelea mambo kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu na amezungumzia gharama nyingi zilizotumika kutimiza azma ya Mtanzania kupiga kura kama makaratasi, mafuta, kulipa watu wote wanaohusuka na mchakato wa upigaji kura na kadhalika.
Kawishe amesema yote hayo ni kumuwezesha mtanzania kupiga kura hivyo japo inabaki hiari lakini ni muhimu sana kwenda vituoni kupiga kura na kuwasihi baada ya zoezi kila mtu akaendelee na ratiba zake.
Pia ndugu Kawishe amewakumbusha watu wote kuwa kipindi cha uchaguzi sheria za nchi zinaendelea kufanya kazi.
Mwambie mahera, uchaguzi huu hautamuacha salama akileta useng.eMkurugenzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi upande wa huduma, Emmanuel Kawishe anaongelea mambo kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu na amezungumzia gharama nyingi zilizotumika kutimiza azma ya Mtanzania kupiga kura kama makaratasi, mafuta, kulipa watu wote wanaohusuka na mchakato wa upigaji kura na kadhalika.
Kawishe amesema yote hayo ni kumuwezesha mtanzania kupiga kura hivyo japo inabaki hiari lakini ni muhimu sana kwenda vituoni kupiga kura na kuwasihi baada ya zoezi kila mtu akaendelee na ratiba zake.
Pia ndugu Kawishe amewakumbusha watu wote kuwa kipindi cha uchaguzi sheria za nchi zinaendelea kufanya kazi.
Lile bichwa lake kama chai jaba litashughulishwaMwambie mahera, uchaguzi huu hautamuacha salama akileta useng.e
Mkuu inaruhusiwa ku-share hiyo link?Tatizo hapo ninaloliona ni lile la mtu akapige kura kituo alichojiandikishia. Sijui kama kweli tehama imetusaidia nini kwenye hii tume.
Mi nimepewa link tu ya kuangalia kama ni mpiga kura na nimefanikisha.
Sasa inashindikana nini kupiga kura kituo chochote kwani ukitaka kumuona kuwa ni mpiga kura unaona tu kama ni halali au haramu?
Ujinga mkubwa wa NEC mnachezea uchaguzi, mnawachagulia watu kwa kuwaengua wagombea halafu mnasema watu wajitokeze kwa wingi kupiga kura?! Inaudhi sana.Mkurugenzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi upande wa huduma, Emmanuel Kawishe anaongelea mambo kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu na amezungumzia gharama nyingi zilizotumika kutimiza azma ya Mtanzania kupiga kura kama makaratasi, mafuta, kulipa watu wote wanaohusuka na mchakato wa upigaji kura na kadhalika.
Kawishe amesema yote hayo ni kumuwezesha mtanzania kupiga kura hivyo japo inabaki hiari lakini ni muhimu sana kwenda vituoni kupiga kura na kuwasihi baada ya zoezi kila mtu akaendelee na ratiba zake.
Pia ndugu Kawishe amewakumbusha watu wote kuwa kipindi cha uchaguzi sheria za nchi zinaendelea kufanya kazi.