Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,808
Mkurugenzi wa tume ya Taifa ya uchaguzi upande wa huduma, Emmanuel Kawishe anaongelea mambo kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu na amezungumzia gharama nyingi zilizotumika kutimiza azma ya Mtanzania kupiga kura kama makaratasi, mafuta, kulipa watu wote wanaohusuka na mchakato wa upigaji kura na kadhalika.
Kawishe amesema yote hayo ni kumuwezesha mtanzania kupiga kura hivyo japo inabaki hiari lakini ni muhimu sana kwenda vituoni kupiga kura na kuwasihi baada ya zoezi kila mtu akaendelee na ratiba zake.
Pia ndugu Kawishe amewakumbusha watu wote kuwa kipindi cha uchaguzi sheria za nchi zinaendelea kufanya kazi.
Kawishe amesema yote hayo ni kumuwezesha mtanzania kupiga kura hivyo japo inabaki hiari lakini ni muhimu sana kwenda vituoni kupiga kura na kuwasihi baada ya zoezi kila mtu akaendelee na ratiba zake.
Pia ndugu Kawishe amewakumbusha watu wote kuwa kipindi cha uchaguzi sheria za nchi zinaendelea kufanya kazi.